Search This Blog

Saturday, February 29, 2020

Afisa wa magereza amuua kinyama mpenziwe waliyepatana kwenye Facebook


Polisi katika Kaunti ya Kiambu wamemkamata mwanamume mmoja ambaye anatuhumiwa kwa kumuua mpenzi wake mnamo Jumatano, Februari 26, katika eneo la Ruaka.

Tairus Mwangi, mwenye umri wa miaka 26, ambaye ni afisa wa magereza katika Gereza la Malindi, Kaunti ya Kilifi , anakisiwa kumpiga Purity Karwirwa mara kadhaa kwenye kichwa, pua na mgongo akitumia nyundo.

Mwangi na marehemu Karwirwa ambaye aliyekuwa na miaka 26, walichumbiana kwa kipindi cha mwaka mmoja unusu baada ya kukutana kwenye Facebook, huku uhusiano wao ukizingirwa na mgogoro wa kila mara kama alivyofichua nduguye Karwirwa, Erick Kimathi.

Kimathi alifuchua kwamba, dada yake ambaye alikuwa anajipatia kipato kupitia kwa uandisi mtandaoni, alikuwa akimtembelea mpenzi wake mjini Malindi kila mara.

“Uhusiano wao ulikuwa umezingirwa na dhuluma, huku mshukiwa akiwa na hasira kila mara," alikariri Kamithi kama alivyonukuliwa na K24 siku ya Jumamosi, Februari 29.


Kulingana na Ndugu yake Karwirwa, marehemu alikuwa akiishi na swaiba wake katika eneo la Donholm, jijini Nairobi.

Rafiki huyo aliyetambuliwa kama Skitter Ntinyari, alifichua kuwa kila mara Karwirwa alikuwa akigombana na mpenzi wake kila mara wakiwasilina kwenye simu.

Kabla ya tukio, mshukiwa anasemekana kuwasili Nairobi mnamo Jumatano, Februari 25, na kuomba kukatana na Karwirwa ili kutatua tofauti zao ambapo marehemu alikubali na kisha Mwangi alikwenda kumchukua mpenzi wake kutoka kwa swaiba wake eneo la Donholm.

Mshukiwa anadaiwa kumpiga marehemu akitumia nyundo kwa kumgonga kwenye kichwa, pua na mgongo mara kadhaa.
Inadaiwa Mwangi alifululiza na Karwirwa hadi kwa dada yake eneo la Ruaka, siku ya Jumatano, Februari 26 ambapo tena walitofautiana na kumpelekea Mwangi kuchukua nyundo na kumgonga Karwirwa kwenye kichwa, pua na mgongo mara kadha na kisha kumuua papo hapo.

Kamera ya CCTV katika eneo la tukio inamuonyesha Mwangi akiondoka nyumbani kwa dada yake baada ya kubadilisha nguo zake.
Dada yake mshukiwa alishtuka kufika kwake siku ya Jumatano na kupata mwili wa Karwirwa ukiwa umelowa damu na kisha kupiga ripoti katika Kituo cha Polisi cha Karuri na kuanzisha msako wa kumtafuta mshukiwa aliyekuwa ameingia mitini.

Makachero wa DCI waliweza kufuatilia hatua za mshukiwa ambaye aligunduliwa kuwa katika baa moja eneo la Kahawa West siku ya Alhamisi, Februari 27, ambapo alikamatwa na kupelekwa katika Kituo cha Polisi cha Karuri ambapo anazuiliwa.

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Matokeo ya upasuaji uliofanyiwa mwili wa Karwirwa mnamo Ijumaa, Februari 28, ulitambua kwamba marehemu alifariki kutokana na majeraha kwenye kichwa.

Mwili wa Karwirwa ulisafirishwa hadi katika kijiji cha Mwaniki, Imenti ya Kati, Kaunti ya Meru kwa mazishi huku mshukiwa akitazamiwa kufikishwa kortini Jumatatu, Machi 2, uchunguzi ukiendelea.



Wartford yapepeta Liverpool magoli 3-0 ugenini huku wakijiondoa kwenye kitanzi


Mtindo wa ushindi wa Liverpool katika michezo 18 ulisitishwa na timu iliyokuwa inakumbana na hatari ya kubanduliwa kwenye ligi Watford, kwa kuwapachika vijana wa Jurgen Klopp magoli 3-0 ugani Vicarage road.

Watford, ambao wiki 12 zilizopita walikuwa wanavuta mkia kwenye ligi hiyo, waliwashangaza mabingwa watarajiwa katika kipindi cha pili kupitia mabao kutoka kwa Ismaïla Sarr na Troy Deeney.

Reds hawakuwa na mvuto awamu ya kwanza, licha ya kuwa na kikosi imara na walinzi hatari akiwemo Salah, Mane na Firmino.

Wenyeji ndio waliibuka mabingwa mwishoni huku wakionyesha ari ya hali ya juu katika mechi kali iliyowashinda walinzi wengi wa Liverpool maarifa.

Watford walipata pigo wakati mahiri wao Gerard Deulefeu aliondolewa uwanjani kwa machela baada ya kugongesha goti lake huku akionekana kuwa bora zaidi kuwatunuku wenyeji mabao.

Baada ya kubuni nafasi nyingi za mabao kushinda Liverpool katika awamu ya kwanza, Watford walikaribia kuvunja kimya dakika ya 45 lakini juhudi za Troy Deeney zilishindwa kumtatiza Alisson.

Awamu ya pili ilikuwa sawia na ya kwanza, Hornets, ambao wanapigania wadhifa yao katika Ligi Kuu, waliendeleza mashambulizi yao, naye Sarr alikaribia tena kutinga bao baada ya kumjaribu Alisson imani.

Hatimaye juhudi hizo za Sarr zilizaa matunda ambaye alivurumisha kombora hadi kimyani baada ya kikosi cha ulinzi cha Liverpool kuchanganyikiwa.

Sarr alipishwa na Deeney na Mane, ambaye kombora lake lilimshinda Alisson kudaka.

Baada ya kubuni nafasi nyingi za mabao kushinda Liverpool katika awamu ya kwanza, Watford walikaribia kuvunja kimya dakika ya 45 lakini juhudi za Troy Deeney zilishindwa kumtatiza Alisson.

Awamu ya pili ilikuwa sawia na ya kwanza, Hornets, ambao wanapigania wadhifa yao katika Ligi Kuu, waliendeleza mashambulizi yao, naye Sarr alikaribia tena kutinga bao baada ya kumjaribu Alisson imani.

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Hatimaye juhudi hizo za Sarr zilizaa matunda ambaye alivurumisha kombora hadi kimyani baada ya kikosi cha ulinzi cha Liverpool kuchanganyikiwa.

Sarr alipishwa na Deeney na Mane, ambaye kombora lake lilimshinda Alisson kudaka.

WHO: Maswali Ambayo Kila Waziri wa Afya Anapaswa Kujiuliza Kuangalia Utayari wa Kupambana na Corona



Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedros Ghebreyesus ametoa maswali ambayo kila Waziri wa Afya inabidi ajiulize kujua utayari wa nchi kupambana na #Corona. Baadhi ya maswali hayo ni...

Je, tutafanya nini iwapo tunapata mgonjwa wa #corona?. Je, tuna kitengo cha karantini kwa wagonjwa?. Je, tuna Oksijeni ya kutosha na vifaa muhimu?

Je, wahudumu wetu wa afya wana mafunzo na vifaa ili wawe salama?. Je, wahudumu wa afya wanafahamu jinsi ya kufanya uchunguzi kutoka kwa wagonjwa?

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Je, katika viwanja vya ndege na mipakani tuna mikakati ya kuchunguza watu iwapo ni wagonjwa?. Je, maabara zetu zina vitendea kazi vya kuchunguza sampuli?

Je, Hospitali zetu na Kliniki zina kanuni sahihi za kukinga na kuzuia maambukizi?. Je, Wananchi wana taarifa sahihi?. Je, wanafahamu dalili za ugonjwa husika?

Acha Tabia Hizi..Haziendani na Utanashati.....


Mdau wa JamiiForums ameelezea baadhi ya tabia ambazo mtu akizifanya mbele ya Umma zinaondoa utanashati wake na kumshusha hadhi kabisa. Ameshauri Watu kuacha tabia hizo

Mdau amewashauri watu kuacha kutoa uchafu puani kwa vidole vyao maana pua ina bakteria wengi sana na badala yake watumie kitambaa. Pia, ameshauri kuacha kujishika sehemu za siri ndani ya nguo hata kama zinawasha na ikitokea unawashwa jikunie kwa nje ya nguo

Ameshauri pia kuacha kupenga kamasi kwa mikono mitupu na badala yake hakikisha unakuwa na kitambaa maalumu. Lakini pia ameshauri kunika nguo zako za ndani kwenye jua la kutosha na pia nawa maji ukitoka chooni kwa haja ndogo au kubwa

Amedai kuwa Muungwana yeyote anakuwa na kitambaa cha kujifutia jasho ukijiona unatembea bila ya kitambaa wewe ni mchafu. Mwisho ameshauri kuwa hakikisha makalio yako unayapaka mafuta, hasa wanaume ambao kwa asilimia kubwa hawapaki mafuta

Kisa Manara: Simba yashangiliwa Kilimanjaro marathoni

By Imani Makongoro

Kilimanjaro. "Simba....Simba...Simbaaa" ndivyo maelfu ya mashabiki waliofurika katika mbio za Kilimanjaro marathoni walimshangilia afisa habari wa klabu hiyo, Haji Manara kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi wakati akimaliza mbio.

Manara ameshiriki mbio za msimu huu na kukimbia na kumaliza mbio kilomita 22 alipotumia saa 1.54 kumaliza.

Wakati msemaji huyo wa Simba akihitimisha mbio hizo, mashabiki walisimama kumshangilia wakiimba Simba Simbaaaa Simbaaa, klabu inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara na bingwa watetezi wa Ligi hiyo.

Let's block ads! (Why?)

Wanariadha Panga, Magdalena waing'arisha Tanzania Kilimanjaro marathoni

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Wanariadha Joseph Panga na Magdalena Shauri wameitoa kimasomaso Tanzania kwa kutwaa dhahabu katika mbio za Tigo nusu marathoni za mashindano ya Kilimanjaro marathoni yanayoendelea kwenye viwanja vya ushirika mjini Moshi.

Panga ameibuka kidedea upande wa wanaume wakati Magdalena aking'ara upande wa wanawake wakiwapiku wanariadha wengine 5500 waliokimbia mbio  za nusu marathoni.

Tangu mwanzo wa mbio, Panga alikuwa akiongoza akifuatiwa na Watanzania, Josephat Joshua aliyetwaa medali ya fedha, Francis Damiano na Joshua Elisante ambao hata hivyo walipitwa na Mkenya, Joseph Kimathi wa Kenya aliyetwaa medali ya shaba zikiwa zimebakia mita 500 kumaliza mbio.

Kwa wasichana, Magdalena aliibuka kidedea akiwaacha washindani wenzake kwa zaidi ya dakika 5.

Let's block ads! (Why?)

Kisa Manara: Simba yashangiliwa Kilimanjaro marathoni

By Imani Makongoro

Kilimanjaro. "Simba....Simba...Simbaaa" ndivyo maelfu ya mashabiki waliofurika katika mbio za Kilimanjaro marathoni walimshangilia afisa habari wa klabu hiyo, Haji Manara kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi wakati akimaliza mbio.

Manara ameshiriki mbio za msimu huu na kukimbia na kumaliza mbio kilomita 22 alipotumia saa 1.54 kumaliza.

Wakati msemaji huyo wa Simba akihitimisha mbio hizo, mashabiki walisimama kumshangilia wakiimba Simba Simbaaaa Simbaaa, klabu inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara na bingwa watetezi wa Ligi hiyo.

Let's block ads! (Why?)

Wanariadha Panga, Magdalena waing'arisha Tanzania Kilimanjaro marathoni

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Wanariadha Joseph Panga na Magdalena Shauri wameitoa kimasomaso Tanzania kwa kutwaa dhahabu katika mbio za Tigo nusu marathoni za mashindano ya Kilimanjaro marathoni yanayoendelea kwenye viwanja vya ushirika mjini Moshi.

Panga ameibuka kidedea upande wa wanaume wakati Magdalena aking'ara upande wa wanawake wakiwapiku wanariadha wengine 5500 waliokimbia mbio  za nusu marathoni.

Tangu mwanzo wa mbio, Panga alikuwa akiongoza akifuatiwa na Watanzania, Josephat Joshua aliyetwaa medali ya fedha, Francis Damiano na Joshua Elisante ambao hata hivyo walipitwa na Mkenya, Joseph Kimathi wa Kenya aliyetwaa medali ya shaba zikiwa zimebakia mita 500 kumaliza mbio.

Kwa wasichana, Magdalena aliibuka kidedea akiwaacha washindani wenzake kwa zaidi ya dakika 5.

Let's block ads! (Why?)

Wanariadha Panga, Magdalena waing'arisha Tanzania Kilimanjaro marathoni

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Wanariadha Joseph Panga na Magdalena Shauri wameitoa kimasomaso Tanzania kwa kutwaa dhahabu katika mbio za Tigo nusu marathoni za mashindano ya Kilimanjaro marathoni yanayoendelea kwenye viwanja vya ushirika mjini Moshi.

Panga ameibuka kidedea upande wa wanaume wakati Magdalena aking'ara upande wa wanawake wakiwapiku wanariadha wengine 5500 waliokimbia mbio  za nusu marathoni.

Tangu mwanzo wa mbio, Panga alikuwa akiongoza akifuatiwa na Watanzania, Josephat Joshua aliyetwaa medali ya fedha, Francis Damiano na Joshua Elisante ambao hata hivyo walipitwa na Mkenya, Joseph Kimathi wa Kenya aliyetwaa medali ya shaba zikiwa zimebakia mita 500 kumaliza mbio.

Kwa wasichana, Magdalena aliibuka kidedea akiwaacha washindani wenzake kwa zaidi ya dakika 5.

Let's block ads! (Why?)

Mwanariadha Samson Ramadhan awachambua, Failuna, Sarah, Magdalena

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Muda mfupi kabla ya wanariadha nyota wa wanawake wa Tanzania, Failuna Abdi, Sarah Ramadhan na Magdalena Shauri kushindana kusaka medali kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni, bingwa wa zamani wa jumuiya ya madola, Samson Ramadhan amechambua viwango vya nyota hao huku akitoa nafasi finyu kwa Sarah kufanya vizuri.

Samson ni kocha msaidizi wa wanariadha wa JWTZ ambao wanashindana katika mbio hizo amewapa nafasi ya ushindi Failuna na Magdalena.

"Wakenya ndio washindani wetu, lakini kwa wenyewe kwa wenyewe kwa wanariadha wetu wa kike sioni dalili ya Sarah kufanya vizuri," alisema Samson.

Alisema Sarah licha ya kuwa mgumu  na asiyekubali kushindwa, lakini leo kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni hawezi kufanya maajabu.

"Hana mazoezi, nafahamu kwa sababu amekuwa akijifua na sisi, ila kama angekuwa na mazoezi Sarah ni mwanariadha mzuri sana, labda angekimbia mbio za kilomita 21 lakini kwenye full marathoni anajitesa na hatofanya vizuri," alisema.

Upande wa Failuna, Samson alisema kama angekimbia full marathoni naye angejitesa lakini anakimbia mbio za kilomita 21 ambazo ni kama mazoezi kwake.

Advertisement

"Ana nafasi ya kufanya vizuri kwani kwa mazoezi ambayo amekuwa akifanya hiyo itakuwa kama moja ya mazoezi yake ya kutafuta kasi," alisema.

Upande wa Magdalena ambaye hivi karibuni alivunja rekodi ya Taifa ya nusu marathoni, Samson alisema kama kwenye Kilimanjaro marathoni kungekuwa na mbio za kilomita 10 ndizo zingemfaa zaidi.

"Hata za kilomita 21 anazokimbia si mbaya," alisema Samson.

Let's block ads! (Why?)

Mwanariadha Samson Ramadhan awachambua, Failuna, Sarah, Magdalena

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Muda mfupi kabla ya wanariadha nyota wa wanawake wa Tanzania, Failuna Abdi, Sarah Ramadhan na Magdalena Shauri kushindana kusaka medali kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni, bingwa wa zamani wa jumuiya ya madola, Samson Ramadhan amechambua viwango vya nyota hao huku akitoa nafasi finyu kwa Sarah kufanya vizuri.

Samson ni kocha msaidizi wa wanariadha wa JWTZ ambao wanashindana katika mbio hizo amewapa nafasi ya ushindi Failuna na Magdalena.

"Wakenya ndio washindani wetu, lakini kwa wenyewe kwa wenyewe kwa wanariadha wetu wa kike sioni dalili ya Sarah kufanya vizuri," alisema Samson.

Alisema Sarah licha ya kuwa mgumu  na asiyekubali kushindwa, lakini leo kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni hawezi kufanya maajabu.

"Hana mazoezi, nafahamu kwa sababu amekuwa akijifua na sisi, ila kama angekuwa na mazoezi Sarah ni mwanariadha mzuri sana, labda angekimbia mbio za kilomita 21 lakini kwenye full marathoni anajitesa na hatofanya vizuri," alisema.

Upande wa Failuna, Samson alisema kama angekimbia full marathoni naye angejitesa lakini anakimbia mbio za kilomita 21 ambazo ni kama mazoezi kwake.

Advertisement

"Ana nafasi ya kufanya vizuri kwani kwa mazoezi ambayo amekuwa akifanya hiyo itakuwa kama moja ya mazoezi yake ya kutafuta kasi," alisema.

Upande wa Magdalena ambaye hivi karibuni alivunja rekodi ya Taifa ya nusu marathoni, Samson alisema kama kwenye Kilimanjaro marathoni kungekuwa na mbio za kilomita 10 ndizo zingemfaa zaidi.

"Hata za kilomita 21 anazokimbia si mbaya," alisema Samson.

Let's block ads! (Why?)

Waitara Atangaza Kugombea Ubunge Tarime Vijijini



Mbunge wa Ukonga, Dar es Salaam, Mwita Waitara (CCM), ametangaza kugombea ubunge Jimbo la Tarime Vijijini mkoani Mara.

Waitara ambaye ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), aliyejichimbia kwa muda akifanya vikao ndani na mikutano ya hadhara, alitangaza uamuzi wake huo hivi karibuni wilayani Tarime alipokutana na viongozi wa chama na jumuiya, wenyeviti wa vitongoji na vijiji kuanzia ngazi ya mashina, matawi na kata.

Aliwaeleza wajumbe hao zaidi ya 700 kuwa ameamua kurudi nyumbani kugombea, huku akitamba yeye ndiye mtu pekee ndani ya CCM mwenye uwezo na nguvu za kukomboa jimbo hilo kutoka Chadema.

Jimbo hilo kwa sasa linaongozwa na John Heche (Chadema) aliyeshinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

“Niseme nisiseme au kuna mtu atanuna humu ndani, si mnajua nakuja nyumbani au ngoja niseme tu, naogopa nini, mie nagombea ubunge Jimbo la Tarime Vijijini, mchakato utafanyika wa kura za maoni, kisha utaratibu wa vikao vya wilaya utapitia.

“Itafikia hatua ya mkoa na mwisho vikao vya juu vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM kuteua jina moja ambalo ni la Waitara, kisha NEC wanatuunganisha na upinzani kuanza kampeni za miezi mitatu kabla wananchi kutupigia kura Oktoba, mwaka huu,” alisema Waitara.

Waitara ameendelea kufanya vikao vya kukutana na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya, akitumia ushawishi wa kutoa ahadi kedekede, kuwapatia nauli na wakati mwingine kuchinja mifugo na kuandaa chakula na vinywaji baridi, akidai ni sehemu ya kubadilishana mawazo na kuweka mikakati ya kuunda timu ya watu watakaomsaidia kumtafutia kura kwa wajumbe wa mkutano mkuu ili kumuwezesha kuibuka mshindi wa kura za maoni ndani ya chama hicho.



Asilimia 95 Misenyi ni Wahamiaji Haramu,Serikali ya Tanzania yatoa tamko


Na Mwandishi Wetu,Misenyi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni ameitaka idara ya uhamiaji na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA),kuongeza nguvu kazi katika Wilaya ya Misenyi baada kugundulika uwepo wa wahamiaji haramu wengi wanaotishia hali ya ulinzi na usalama katika Mkoa wa Kagera unaopakana na nchi za Uganda na Rwanda.

 Ameyasema hayo baada ya kusikiliza taarifa ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya  Misenyi iliyosomwa na Mkuu wa Wilaya hiyo,Kanali Denis Mwila iliyoweka wazi  idadi ya asilimia 95 ya wakazi katika Kata ya Kakunyu iliyopo Wilayani Misenyi Mkoani Kagera ni wahamiaji haramu huku sababu kubwa zikitajwa za ongezeko hilo ni  kuletwa kwa wahamiaji hao kutafuta ajira na kutafuta mashamba ya maeneo ya malisho ndani ya Ranchi ya Taifa.

“kuna haja ya kuleta nguvu kazi  kubwa sana kutoka idara ya uhamiaji na NIDA,lazima tuwe na takwimu halisi ya kila mtu aliyeko katika maeneo haya ambayo yana mashaka,nchi yetu inakaribia kufanya uchaguzi mkuu ndani ya mwaka huu,tunahitaji kuwa salama ili kuweza kufanya uchaguzi pasina shaka yoyote ya uvunjifu wa amani ,tatizo hili ni kubwa linahitaji utatuzi wa haraka ili kuepuka madhara huko mbeleni” alisema Masauni

Akitoa taarifa ya idara ya uhamiaji kwa kipindi cha Januari hadi Disemba, 2019, Mkuu wa Wilaya ya Misenyi, Kanali Denis Mwila, alisema idara ilitoa hati ya dharura za kusafiria 1,276 zenye thamani ya Shilingi 25,520,000/- huku makusanyo hayo yakikisiwa kuwa ni wastani wa makusanyo 2,126,666/- kwa mwezi huku idara ikikamata wahamiaji haramu 206 kwa kipindi cha mwezi Januari mpaka Disemba,mwaka jana.

“Tumekua na matukio ya kukamatwa kwa wahamiaji haramu katika wilaya yetu mfano katika kata ya Kakunyu watu 6,630 walisajiliwa huku raia halali wakiwa 319 tu,hivyo takribani asilimia 95 ya wakazi hao sio raia au uraia wao una mashaka,wahamiaji hao ni gharama kuwahudumia maana bado wana haki ya kuhifadhiwa na kupata mahitaji yote ya kibinadamu” alisema Kanali Mwila
HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Wakizungumza mbele ya Naibu Waziri wahamiaji hao waliomba kupatiwa nauli ili warejee katika nchi zao huku wengine wakitaja  sababu ya kuingia nchini kinyume na sharia ni kuja kutafuta ajira na kukimbiwa na wenza wao.

Simbachawene Ajitosa Kumsaidia Mama Aliyejifungua Mapacha Watatu Mpwapwa




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwaangalia watoto mapacha watatu waliozaliwa Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma. Kushoto ni Mama Mzazi wa watoto hao, Mariam Jonas. Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akiagana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mpwawa, Dkt Hamza Mkingule, baada ya kufika hospitali hapo kuwaangalia watoto mapacha watatu waliozaliwa katika Hospitali hiyo, Mjini humo Mkoani Dodoma.


Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akizungumza na mama aliyejifungua watoto watatu mapacha, Mariam Jonas, katika hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa.
Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akiongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mpwawa, Dkt Hamza Mkingule, kuingia wodi namba nane ya Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, kumwangalia mama aliyejifungua watoto mapacha watatu waliozaliwa katika Hospitali hiyo, Mjini humo Mkoani Dodoma. Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima.


DC Iringa: "Wanafunzi Wa Kike Msijirahisishe Tupunguze Ukatili"



Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela amewataka wanafunzi wa kike kutojirahisisha mpaka kupelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili dhidi yao.

Ameyasema hayo leo mkoani Iringa wakati akiupokea Msafara wa kijinsia wa kutokomeza ukatili wa kijinsia uliposimama mkoani hapo.

Ameongeza kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikiongezeka siku hadi siku hasa katika familia na vimekuwa vikifumbiwa macho na kumalizana kimya kimya.

"Msijirahisishe watoto wangu mnatupa tabu sana maana tumekuwa tunapambana na vitendo vya ukatili ninyi mnajirahisisha" alisema

Mhe. Kasesela amesema kuwa kumekuwa na ongezeko la mimba na ndoa za utotoni na ulawiti kwa watoto wa kiume watoto wamekuwa wameharibiwa na kusbabishiwa maumivu na ukatili wa kisaikolojia.

Ameongeza kuwa Serikali imejipanga katika kuhakikisha inasimamia ustawi wa jamii ikiwemo kuwalinda na vitendo vya kikatili dhidi yao hasa kwa makundi maalum ya wanawake, Watoto na walemavu.

"Tusikae kimya tuseme tutoe taarifa kwa vyombo vya kisheria kuhusu vitendo vya kikatili vinavyotokea katika familia na jamii zetu"alisema.

Naye Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu Maendeleo ya Jamii Bi Imelda Kamugisha amesema vitemdonvyabukatili.vimekuwa vikitokea kwenye jamii zeru na kwa mujibu wa takwimu wanawake asilimia 30 walio kwenye ndoa wanafanyiwa ukatili wa kijinsia.

"Kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya ukatili Serikali imeongeza vituo vya huduma jumuishi na namba ya kutoa ripoti ya vitendo vya ukatili kwa watoto ili kuweza kuchukua hatua katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili" alisema.

Kwa upande wake Wakili kutoka Wakala wa Usajili, Ufilisi na udhamini  RITA Janeth Mandawa ametoa wito kwa wanaume kuandika wosia ili kuondokana na vitendo vya kikatili vinavyowakumba wanawake wajane katika jamii zetu ili kuwezesha kuwapa haki zao stahili.

 "Sisi tunahusika na masuala ya wosia kuandika wosia sio kufa ila inasaidia kutoa maelekezo baada ya mume au mke kufariki ili tuondokane na vitendo vya ukatili"alisema.



Mzee Mangula Aanguka Ghafla na Kulazwa ICU.....Rais Magufuli Amjulia Hali



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 29 Februari, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ndg. Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu.

Taarifa ya Mangula kuugua imetolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa huku video zikimuonyesha Magufuli akizungumza naye, baadaye kusali pamoja.

Mangula anaonekana akiwa amelala kitandani huku akiwa na plasta juu ya jicho lake la kushoto.

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Taarifa hiyo inaeleza kuwa Mangula ambaye jana alishiriki kikao cha kamati kuu ya chama hicho sambamba na Magufuli kilichofanyika katika ofisi ndogo za CCM zilizopo mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam, amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU).

“Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu,” inaeleza taarifa hiyo.

“Utapona na Mungu atakusimamia katika tatizo hili, sisi tulipoona jana umeanguka ilitushtua,” amesema Magufuli na Mangula kujibu, “sijui nimeangukaje.”.


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili March 1













Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili March 1


Wanariadha Panga, Magdalena waing'arisha Tanzania Kilimanjaro marathoni

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Wanariadha Joseph Panga na Magdalena Shauri wameitoa kimasomaso Tanzania kwa kutwaa dhahabu katika mbio za Tigo nusu marathoni za mashindano ya Kilimanjaro marathoni yanayoendelea kwenye viwanja vya ushirika mjini Moshi.

Panga ameibuka kidedea upande wa wanaume wakati Magdalena aking'ara upande wa wanawake wakiwapiku wanariadha wengine 5500 waliokimbia mbio  za nusu marathoni.

Tangu mwanzo wa mbio, Panga alikuwa akiongoza akifuatiwa na Watanzania, Josephat Joshua aliyetwaa medali ya fedha, Francis Damiano na Joshua Elisante ambao hata hivyo walipitwa na Mkenya, Joseph Kimathi wa Kenya aliyetwaa medali ya shaba zikiwa zimebakia mita 500 kumaliza mbio.

Kwa wasichana, Magdalena aliibuka kidedea akiwaacha washindani wenzake kwa zaidi ya dakika 5.

Let's block ads! (Why?)

Mwanariadha Samson Ramadhan awachambua, Failuna, Sarah, Magdalena

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Muda mfupi kabla ya wanariadha nyota wa wanawake wa Tanzania, Failuna Abdi, Sarah Ramadhan na Magdalena Shauri kushindana kusaka medali kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni, bingwa wa zamani wa jumuiya ya madola, Samson Ramadhan amechambua viwango vya nyota hao huku akitoa nafasi finyu kwa Sarah kufanya vizuri.

Samson ni kocha msaidizi wa wanariadha wa JWTZ ambao wanashindana katika mbio hizo amewapa nafasi ya ushindi Failuna na Magdalena.

"Wakenya ndio washindani wetu, lakini kwa wenyewe kwa wenyewe kwa wanariadha wetu wa kike sioni dalili ya Sarah kufanya vizuri," alisema Samson.

Alisema Sarah licha ya kuwa mgumu  na asiyekubali kushindwa, lakini leo kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni hawezi kufanya maajabu.

"Hana mazoezi, nafahamu kwa sababu amekuwa akijifua na sisi, ila kama angekuwa na mazoezi Sarah ni mwanariadha mzuri sana, labda angekimbia mbio za kilomita 21 lakini kwenye full marathoni anajitesa na hatofanya vizuri," alisema.

Upande wa Failuna, Samson alisema kama angekimbia full marathoni naye angejitesa lakini anakimbia mbio za kilomita 21 ambazo ni kama mazoezi kwake.

Advertisement

"Ana nafasi ya kufanya vizuri kwani kwa mazoezi ambayo amekuwa akifanya hiyo itakuwa kama moja ya mazoezi yake ya kutafuta kasi," alisema.

Upande wa Magdalena ambaye hivi karibuni alivunja rekodi ya Taifa ya nusu marathoni, Samson alisema kama kwenye Kilimanjaro marathoni kungekuwa na mbio za kilomita 10 ndizo zingemfaa zaidi.

"Hata za kilomita 21 anazokimbia si mbaya," alisema Samson.

Let's block ads! (Why?)

Mwanariadha Samson Ramadhan awachambua, Failuna, Sarah, Magdalena

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Muda mfupi kabla ya wanariadha nyota wa wanawake wa Tanzania, Failuna Abdi, Sarah Ramadhan na Magdalena Shauri kushindana kusaka medali kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni, bingwa wa zamani wa jumuiya ya madola, Samson Ramadhan amechambua viwango vya nyota hao huku akitoa nafasi finyu kwa Sarah kufanya vizuri.

Samson ni kocha msaidizi wa wanariadha wa JWTZ ambao wanashindana katika mbio hizo amewapa nafasi ya ushindi Failuna na Magdalena.

"Wakenya ndio washindani wetu, lakini kwa wenyewe kwa wenyewe kwa wanariadha wetu wa kike sioni dalili ya Sarah kufanya vizuri," alisema Samson.

Alisema Sarah licha ya kuwa mgumu  na asiyekubali kushindwa, lakini leo kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni hawezi kufanya maajabu.

"Hana mazoezi, nafahamu kwa sababu amekuwa akijifua na sisi, ila kama angekuwa na mazoezi Sarah ni mwanariadha mzuri sana, labda angekimbia mbio za kilomita 21 lakini kwenye full marathoni anajitesa na hatofanya vizuri," alisema.

Upande wa Failuna, Samson alisema kama angekimbia full marathoni naye angejitesa lakini anakimbia mbio za kilomita 21 ambazo ni kama mazoezi kwake.

Advertisement

"Ana nafasi ya kufanya vizuri kwani kwa mazoezi ambayo amekuwa akifanya hiyo itakuwa kama moja ya mazoezi yake ya kutafuta kasi," alisema.

Upande wa Magdalena ambaye hivi karibuni alivunja rekodi ya Taifa ya nusu marathoni, Samson alisema kama kwenye Kilimanjaro marathoni kungekuwa na mbio za kilomita 10 ndizo zingemfaa zaidi.

"Hata za kilomita 21 anazokimbia si mbaya," alisema Samson.

Let's block ads! (Why?)

Mwanariadha Samson Ramadhan awachambua, Failuna, Sarah, Magdalena

By Imani Makongoro

Dar es Salaam. Muda mfupi kabla ya wanariadha nyota wa wanawake wa Tanzania, Failuna Abdi, Sarah Ramadhan na Magdalena Shauri kushindana kusaka medali kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni, bingwa wa zamani wa jumuiya ya madola, Samson Ramadhan amechambua viwango vya nyota hao huku akitoa nafasi finyu kwa Sarah kufanya vizuri.

Samson ni kocha msaidizi wa wanariadha wa JWTZ ambao wanashindana katika mbio hizo amewapa nafasi ya ushindi Failuna na Magdalena.

"Wakenya ndio washindani wetu, lakini kwa wenyewe kwa wenyewe kwa wanariadha wetu wa kike sioni dalili ya Sarah kufanya vizuri," alisema Samson.

Alisema Sarah licha ya kuwa mgumu  na asiyekubali kushindwa, lakini leo kwenye mbio za Kilimanjaro marathoni hawezi kufanya maajabu.

"Hana mazoezi, nafahamu kwa sababu amekuwa akijifua na sisi, ila kama angekuwa na mazoezi Sarah ni mwanariadha mzuri sana, labda angekimbia mbio za kilomita 21 lakini kwenye full marathoni anajitesa na hatofanya vizuri," alisema.

Upande wa Failuna, Samson alisema kama angekimbia full marathoni naye angejitesa lakini anakimbia mbio za kilomita 21 ambazo ni kama mazoezi kwake.

Advertisement

"Ana nafasi ya kufanya vizuri kwani kwa mazoezi ambayo amekuwa akifanya hiyo itakuwa kama moja ya mazoezi yake ya kutafuta kasi," alisema.

Upande wa Magdalena ambaye hivi karibuni alivunja rekodi ya Taifa ya nusu marathoni, Samson alisema kama kwenye Kilimanjaro marathoni kungekuwa na mbio za kilomita 10 ndizo zingemfaa zaidi.

"Hata za kilomita 21 anazokimbia si mbaya," alisema Samson.

Let's block ads! (Why?)

MAGAZETI YA LEO 1/3/2020















Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili March 1















Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...