Search This Blog
Saturday, February 29, 2020
Wartford yapepeta Liverpool magoli 3-0 ugenini huku wakijiondoa kwenye kitanzi
Mtindo wa ushindi wa Liverpool katika michezo 18 ulisitishwa na timu iliyokuwa inakumbana na hatari ya kubanduliwa kwenye ligi Watford, kwa kuwapachika vijana wa Jurgen Klopp magoli 3-0 ugani Vicarage road.
Watford, ambao wiki 12 zilizopita walikuwa wanavuta mkia kwenye ligi hiyo, waliwashangaza mabingwa watarajiwa katika kipindi cha pili kupitia mabao kutoka kwa Ismaïla Sarr na Troy Deeney.
Reds hawakuwa na mvuto awamu ya kwanza, licha ya kuwa na kikosi imara na walinzi hatari akiwemo Salah, Mane na Firmino.
Wenyeji ndio waliibuka mabingwa mwishoni huku wakionyesha ari ya hali ya juu katika mechi kali iliyowashinda walinzi wengi wa Liverpool maarifa.
Watford walipata pigo wakati mahiri wao Gerard Deulefeu aliondolewa uwanjani kwa machela baada ya kugongesha goti lake huku akionekana kuwa bora zaidi kuwatunuku wenyeji mabao.
Baada ya kubuni nafasi nyingi za mabao kushinda Liverpool katika awamu ya kwanza, Watford walikaribia kuvunja kimya dakika ya 45 lakini juhudi za Troy Deeney zilishindwa kumtatiza Alisson.
Awamu ya pili ilikuwa sawia na ya kwanza, Hornets, ambao wanapigania wadhifa yao katika Ligi Kuu, waliendeleza mashambulizi yao, naye Sarr alikaribia tena kutinga bao baada ya kumjaribu Alisson imani.
Hatimaye juhudi hizo za Sarr zilizaa matunda ambaye alivurumisha kombora hadi kimyani baada ya kikosi cha ulinzi cha Liverpool kuchanganyikiwa.
Sarr alipishwa na Deeney na Mane, ambaye kombora lake lilimshinda Alisson kudaka.
Baada ya kubuni nafasi nyingi za mabao kushinda Liverpool katika awamu ya kwanza, Watford walikaribia kuvunja kimya dakika ya 45 lakini juhudi za Troy Deeney zilishindwa kumtatiza Alisson.
Awamu ya pili ilikuwa sawia na ya kwanza, Hornets, ambao wanapigania wadhifa yao katika Ligi Kuu, waliendeleza mashambulizi yao, naye Sarr alikaribia tena kutinga bao baada ya kumjaribu Alisson imani.
HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>
Hatimaye juhudi hizo za Sarr zilizaa matunda ambaye alivurumisha kombora hadi kimyani baada ya kikosi cha ulinzi cha Liverpool kuchanganyikiwa.
Sarr alipishwa na Deeney na Mane, ambaye kombora lake lilimshinda Alisson kudaka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment