Search This Blog

Saturday, October 23, 2021

KIWANJA KINAUZWA DODOMA

     

Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA.

Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X 30 ).

Kiwanja ni kizuri sana watu wameshaanza kujenga na wengine washa hamia, Umeme na Maji vyote vipo. 

kutoka njiapanda ya Nkuhungu ni KM 3 mpaka kwenye kiwanja.. 

Bei Million 4,500,000

Piga simu 0719788949

MAJIRANI WAKO.






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...