Search This Blog

Saturday, November 30, 2019

Kocha mpya Arsenal moto, rekodi za Emery noma

LONDON, ENGLAND . ISHU ya kocha mkuu mpya wa kudumu huko Arsenal inazidi kunoga. Majina kibao yamekuwa yakitajwa tangu alipofutwa kazi Unai Emery na sasa Max Allegri anadaiwa kwamba ndiye anayeongoza kwenye kinyang'anyiro hicho cha kuchukua mikoba ya kuinoa The Gunners.
Emery hakuwa na namna nyingine zaidi ya kufutwa tu kazi kufuatia timu kuchapwa 2-1 nyumbani Emirates kwenye mchezo wa Europa League dhidi ya Eintracht Frankfurt huku timu hiyo ikiwa imecheza mechi saba bila ya kupata ushindi.
Kikosi hicho kwa sasa kipo chini ya Fredrik Ljungberg kwa muda na huenda akabaki kwenye timu hiyo mwishoni mwa msimu, lakini ni nani atakayekuja kuchukua mikoba ya jumla itakapofika Agosti 2020?
Kuhusu Ljungberg kupewa kazi ya kudumu anapewa nafasi ya tatu, huku Max Allegri akiwaongoza na kufuatia na Espirito Santo wa Wolves. Mauricio Pochettino, aliyefutwa kazi Tottenham, naye tupo kwenye orodha ya makocha wanaopewa nafasi za juu kuchukua mikoba hiyo sawa na Mikel Arteta.
Kocha wa Leicester City, Brendan Rodgers naye anapewa nafasi, lakini kwa Arsenal kunasa huduma yake watalazimika kulipa fidia ya Pauni 14 milioni kitu ambacho mabosi wa timu hiyo ya Emirates wanaweza kujifikiria sana kama waliona hasara kumfuta kazi mapema Emery kwa sababu tu watatakiwa kulipa Pauni 4 milioni. Carlo Ancelotti, Rafael Benitez na Patrick Vieira ni makocha wengine wanaohusishwa na kibarua hicho cha kudumu cha kuinoa Arsenal.
Kocha Emery ameshindwa kufanya maajabu wakati alipopewa majukumu ya kuvaa buti za Arsene Wenger baada ya kuachana na timu hiyo.
Rekodi za Emery kwenye mechi 51 alizosimamia timu kwenye Ligi Kuu England, hazina tofauti kabisa na mechi 51 za mwisho za Wenger kwenye timu hiyo.
Makocha hao wote walivuna pointi 88, lakini Wenger akishinda mechi 27 na Emery 25. Emery ametoka sare 13 na kupoteza mara 13, huku akifunga mabao 91, wakati Wenger alitoa sare saba na kuchapwa mara 17 huku timu yake ikifunga mabao 97. Lakini, mwisho wa yote, pointi zilikuwa sawa, 88 na kuonekana kama vile hakuna kilichobadilika, huku Arsenal ya Wenger ilipata ushindi kwenye mechi mbili zaidi ya Arsenal ya Emery.
Baada ya Emery kufutwa kazi, mashabiki kibao wa Arsenal walitumia kurasa zao za Twitter kueleza hisia zao, huku mmoja aliandika: "Nimeshuhudia Arsenal ikiwasajili Bendtner, Andre Santos, Gervinho, Chamakh, Senderos, Sanogo, Gazidis kama mkurugenzi mtendaji mkuu, lakini kitu cha hovyo zaidi ni Unai Emery. Aende tu."

Let's block ads! (Why?)

WENYEVITI WAPYA WA VIJIJI NA VITONGOJI JIMBO LA KISESA MKOA WA SIMIYU WAAPISHWA

Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji na wajumbe wao kutoka Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu wakila kiapo cha utii kwenye hafla iliyofanyika Mwandoya Makao Makuu ya Jimbo la Kisesa.
Wenyeviti wote wa Vijiji vya Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kuapishwa.
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Ikigijo Kata ya Mwabusalu Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Itinje Kata ya Itinje Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Lingeka Kata ya Lingeka Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Matale Kata ya Tindabuligi Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Mbugayabahnya Kata ya Mbugayabahnya Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Mwashata Kata ya Mwabuma Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Ntobo Kata ya Kisesa Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Nyanza Kata ya Mwakisandu Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Semu Kata ya Isengwa Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo
Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Ming’ongwa Kata ya Sakasaka Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo


JAJI MWAIMU ATEMBELEA OFISI ZA THBUB ZANZIBAR

Mwenyekiti wa (THBUB), Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akiongea na wafanyakazi wa tume pamoja na wageni wengine waliohudhuria hafla fupi.
Afisa Mfawidhi wa tume Zanzibar, Hussein Mbarouk akimuonesha kitu Mwenyekiti (wa kwanza kushoto) wakati wa ukaguzi wa jengo hilo.
Jaji Mwaimu (kushoto) akiongea na Kamishna Mkaazi wa tume visiwani Zanzibar, Khatib Mwinyichande wakati wakikagua ofisi hizo za tume.






Mwenyekiti wa (THBUB), Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (aliyeinama) akiwaongoza viongozi wengine wa tume kuwatunza waburudishaji wa kikundi cha ngoma ya kibati kutoka Zanzibar katika hiyo hafla fupi.


……………

Na Mbaraka Kambona,

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu ametembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo visiwani Zanzibar, ikiwa mara yake ya kwanza tangu alipokabidhiwa dhamana hiyo Novemba 4, 2019.

Jaji Mwaimu alifanya ziara hiyo mapema leo (Novemba 30, 2019) kwa lengo la kutambuana na wafanyakazi wa tume waliopo katika ofisi hizo zilizopo Mbweni, visiwani Zanzibar.

Katika ziara hiyo, Jaji Mwaimu akiongozana na Makamishna na viongozi wengine wa tume alifanya ukaguzi wa ofisi hizo ambazo hivi karibuni zilifanyiwa ukarabati mkubwa kwa lengo la kuziboresha. 

Akiongea baada ya kumaliza ukaguzi wa jengo hilo, Jaji Mwaimu alieleza kuridhishwa kwake na ukarabati huo uliofanyika na kusema kuwa watajipanga vizuri katika majukumu yao ili kuhakikisha wanazitumia vizuri ofisi zote mbili za Tanzania bara na hizo za visiwani ili kutatua kero za wananchi.

Katika ziara hiyo Jaji Mwaimu aliambatana na viongozi wafuatao; Makamu Mwenyekiti, Mohamed Khamis Hamad, Mheshimiwa, Dkt. Fatma Rashid Khalfan, Mheshimiwa Thomas Masanja, Mheshimiwa Amina Talib Ali, Mheshimiwa Khatib Mwinyi Chande na Mheshimiwa Nyanda Josiah Shuli.


Mamluki katika Mashindano ya Michezo ya Wafanyakazi kuchukuliwa Hatua

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza leo Novemba 30,2019 Jijini Mwanza na Wanamichezo ambao ni wafanyakazi (hawapo pichani) wakati alipofungua mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na Binafsi yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini. Kulia ni Mwenyekiti wa SHIMMUTA Bw. Khamis Mkanachi na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya Mhe.Dkt.Fillis Nyimbi.
Mwenyekiti wa SHIMMUTA Taifa Bw.Khamis Mkanachi akiongea kuhusu SHIMMUTA leo Novemba 30,2019 Jijini Mwanza na Wanamichezo ambao ni wafanyakazi (hawapo pichani) wakati Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe (katikati) alipofungua mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na Binafsi yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa SHIMMUTA Bibi Roselyn Massam.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe akipiga mpira wa penati leo Novemba 30,2019 Jijini Mwanza kuashiria ufunguzi wa Mashindano ya Wanamichezo ambao ni wafanyakazi alipofungua mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na Binafsi (SHIMMUTA) yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Bibi Phillis Nyimbi akitoa salamu za Wilaya na Mkoa leo Novemba 30,2019 Jijini Mwanza wakati Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe (kulia) alipofungua Mashindano ya Wanamichezo ambao ni wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na Binafsi (hawapo pichani yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa SHIMMUTA Bibi Roselyn Massam.
Bibi Elinaike Naburi ambaye ni Afisa Utumishi kutoka TPDC akiwaapisha wanamichezo wenzake leo Novemba 30,2019 Jijini Mwanza wakati Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) alipofungua mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na Binafsi (SHIMMUTA) yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini.
Bw.Felix Eliudi ambaye ni Muamuzi akila kiapo kwa niaba ya waamuzi wote watakaochezesha mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na Binafsi (SHIMMUTA) yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini ambayo yamefunguliwa na wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Chuo cha Usimamizi wa Biashara CBE kampasi ya Mwanza leo Novema 30,2019 mara baada ya kufungua mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi wa Mashirika ya Umma na (SHIMMUTA) yanayofanyika Jijini humo kuanzia tarehe 27 Novemba hadi 01 Desemba 2019,yanayongozwa na Kauli mbiu “SHIMMUTA 2019 Familia Moja”lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kubadilishana uzoefu kazini.

………………

Na Shamimu Nyaki –WHUSM ,Mwanza

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe ametangaza kuwachukulia hatua Wanamichezo wasiokuwa Wafanyakazi maarufu kwa jina la “Mamluki” wanaoshiriki Mashindano ya Michezo kwa Wafanyakazi inayojulikana kama SHIMUTA na SHIMIWI endapo watabainika.

Dkt.Mwakyembe amesema hayo leo Jijini Mwanza wakati akifungua michezo ya Mashirika ya Umma na Binafsi maarufu kwa jina la SHIMMUTA kwa niaba ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluh Hassan ambaye pia ndiye mlezi wa mashindano hayo ambapo amesema kuwa lengo la mashindano hayo ni kuimarisha afya za wafanyakazi,kubadilishana uzoefu pamoja na kutangaza Taasisi zao.

“Kuna hili suala la Wachezaji ambao sio wafanyakazi maarufu kwa jina la MAMLUKI kushiriki karika michezo hii,tena nakumbuka kuna kiongozi aliwahi kuwaita “viongeza nguvu bambikizi”,Hapa sio mahala pao nawataka wajiondoe mapema maana tukiwabaini wao pamoja na Taasisi zao tutawachukila hatua”alisema Waziri Mwakyembe

Mhe.Waziri Mwakyembe ameongeza kuwa wakati mwaka jana mashindano hayo yalipofanyika Jijini Dodoma Mhe.Makamu wa Rais Mama Samia hakuridhishwa na idadi ya washiriki kutokana na Idadi ya Makampuni na Mashirika yaliyopo nchini,hivyo kuagiza mkutano ufanyike kujua sababu na kuzipatia majibu ambapo maazimio yameleta matunda kwani mashindano ya mwaka huu idadi imeongezeka kutoka 26 hadi 46.

Hata hivyo Mhe.Waziri amewataka waamuzi wa mashindano hayo kuchezesha michezo hiyo kwa haki na kufuata sheria zote za michezo na atakayesababisha vurugu au masononeko atawajibishwa kupitia kiapo alichoapa leo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa SHIMMUTA Bw.Khamis Mkanachi amesema kuwa Menejimenti za Taasisi za Umma pamoja na Makampuni binafsi zinatakiwa kuelewa kwamba wafanyakazi wao wanatakiwa kufanya michezo mbalimbali ili kuimarisha afya zao kwa ajili ya kuongeza ufanisi wanapokuwa kazini,hivyo ni wajibu wa kila Taasisi na mashirika kuona haja ya kutenga siku ya kufanya michezo.

“Michezo hii inafanyika kwa mwaka mara moja ni vyema viongozi wa Taasisi na Mashirika binafsi kuona umuhimu huo na kuwapa wafanyakazi wao muda wa kushiriki michezo hiyo inayoleta ari katika kufanya kazi” aliongeza Bw.Mkanachi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Dkt.Fillis Nyimbi amesema Jiji la Mwanza hususan Wilaya ya nyamagana imeshukuru ujio wa mashindano hayo kwakua itaongeza kipato kwa wenyeji kutokana ongezeko la watu waliokuja kwa ajili ya mashindano hayo ambapo pia amewahakikishia amani na usalama.

Vilevile mwanamichezo Eliud Felix kutoka timu ya Jiji la Mwanza amesema michezo hiyo imewasaidia kujuana pamoja na kubadilishana uzoefu wa majukumu ya kila mmoja katika taasisi yake na kupendekeza iendelee kufanyika kila mwaka.

Mashindano hayo yalianza rasmi tarehe 27/11/2019 na yanatarajiwa kumalizika Desemba mosi 2019 ambapo jumla ya Mashirika na Taasisi 46 zimeshiriki ikiwemo wenyeji Ofisi ya Mkoa wa Mwanza,Chuo Kikuu Dodoma,Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na nyingine.


SERIKALI YATAKIWA KUISHIRIKISHA SEKTA YA ARDHI KATIKA MIPANGOMIJI NCHINI

N/Waziri wa Viwanda na Biashara Eng. Stellah Manyanya (wa pili Kushoto) akitoa maelekezo kwa Msajili wa Bodi ya Usajili Wataalamu wa Miapango Miji nchini Hellen Mtutwa (Kulia) wakati alipotembelea mabanda ya maonesho katika Mkutano wa Wataalamu wa Mipango mwishoni mwa wiki.
N/Waziri wa Viwanda na Biashara Eng. Stellah Manyanya (katikati) Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Mipango Miji Profesa Wilbert Kombe (Kushoto) na Msajili wa Bodi ya Wataalamu wa Mipango Miji Hellen Mtutwa ( kulia) wakiwasili katika Mkutano wa Wataalamu wa Mipango Miji Nchini uliofanyika jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.
N/Waziri wa Viwanda na Biashara Eng. Stellah Manyanya (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wataalamu wa Mipango Miji na baadhi ya wajumbe kwenye Mkutano wa Wataalamu wa Mipango Miji Nchini uliofanyika
Mwishoni mwa wiki jijini Dodoma. (PICHA NA WIZARA YA ARDHI)


Na Munir Shemweta, WANMM DODODMA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stellah Manyanya ametaka kushirikishwa kwa sekta ya ardhi hasa idara ya Mipango Miji katika miradi mbalimbali inayoibuniwa na serikali ili kuondokana na miradi isiyokuwa na tija kwa jamii.

Mhandisi Stellah Manyanya aliyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa mkutano mkuu wa sita wa Mwaka wa Wataalaamu wa Mipangomiji uliofanyika jijini Dodoma.

Alisema, kumekuwepo na miradi mingi nchini inayoanzishwa na Serikali na kutumia gharama kubwa lakini matokeo yake imekuwa haitumiki ipasavyo na wakati mwingine inaingiliana na shughuli nyingine za kijamii hali inayosababisha kuzuka kwa migogoro kwenye jamii.

Alitolea mfano Jengo la Machinga Complex lililopo Ilala Jijini Dar es Salaam, Mhandisi Manyanya alisema, kutokuwepo kwa mipango kina ya muda mrefu na utafiti duni ndio chanzo kikubwa hadi leo jengo hilo limeshindwa kufikia lengo walilojiwekea la kuwasaidia wafanyabiashara wadogowadogo katika shughuli zao.

“ Kuna wale wenzetu waliojenga lile Jengo kubwa kabisa wakalipa jina la heshema Machinga Complex lakini kwa namna walivyopanga na kutumia fedha kwenye kujenga limebaki kuwa jengo la aibu” Alisema Mhandisi Stellah Manyanya.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi hiyo Profesa Wilbert Kombe alisema, Miradi Mingi nchini inafanyika bila kushirikisha wataalamu wa Mipangomiji kwani Taasisi nyingi za Serikali zinapopanga mipango yake ya kiuchumi na miundombinu hazizingatii na kuonesha mipango ya ardhi hali inayosababisha muingiliano wa shughuli za kiuchumi.

Aliongeza kwa kusema kuwa, Taasisi zote nchini zinategemea uwepo wa ardhi, hivyo hazina budi kushirikiana na Sekta zote zinazohusu ardhi kabla ya kupanga mipango yao ya kiuchumi ili kuepusha muingiliano na kupangwa vibaya kwa miji.

‘’Ukitazama eneo la Maegesho ya magari ya Mwendokasi eneo la Jangwani Jijini Dar es Salaam , hayo ni matokeo ya kutoshirikishana katika mipango miji kwani lilile eneo linahitaji mambo mawili ama lihamishwe au iinuliwe barabara kuanzia Magomeni “ Alisema Profesa Kombe.

Naye Msajili wa Bodi ya Wataalamu wa Mipango Miji Hellen Mtutwa alisema, taasisi zote za Serikali ni lazima ziwe na ushirikiano wa karibu wakati wa kuandaa mipango na kuitekeleza siyo sekta za ardhi tu bali Tanesco ,Tanroad Maji na taasisi nyingine ili kuepusha hasara kwa Serikali .

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa City Plan Consultants (T) Limited Dkt Juma Mohamed alisema, maendeleo yote yapo kwenye sekta ya ardhi hivyo Serikali inatakiwa iipe kipaumbele sekta hiyo kwani hasara ya kutokufanya mipango ni kubwa kuliko kuitekeleza.


MAGAZETI YA LEO 1/12/2019
















Messi amtumia ujumbe Neymar

BARCELONA, HISPANIA . NDO hivyo. Lionel Messi amemwomba Neymar arudi kukipiga Barcelona baada ya kuumizwa na namna walivyotupwa nje kwa udhalilishaji mkubwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Liverpool msimu uliopita.
Kwa msimu wa pili mfululizo, Barcelona ilikwenda kucheza mechi za marudiano za hatua ya nusu fainali ikiwa na mtaji mzuri wa mabao kwenye ushindi wa kwanza, lakini mara zote waliteseka na kutupwa nje, ikiwamo lile tukio la msimu ulipita lililotokea Anfield walipopigwa 4-0 kwenye mechi ya marudiano wakati ile ya kwanza ya Nou Camp walishinda 3-0.
Kwa mujibu wa France Football, baada ya kutolewa kwa udhalilishaji, nahodha wa Barca alichukua simu yake na kumtumia meseji ya WhatsApp staa Neymar akimwambia: “Tukiwa pamoja tu ndio tunaweza kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nakutaka urudi. Miaka miwili ijayo, nitaondoka na utabaki wewe, utachukua nafasi yangu.”
Mkurugenzi wa soka wa Barcelona, Eric Abidal amethibitisha kwamba suala la kumrudisha supastaa huyo wa Kibrazili kwenye kikosi chao ni jambo lililopo kwenye mpango. Neymar alionekana kuwa kwenye nafasi ya kurudi Barcelona kwenye dirisha lililopita la uhamisho wa majira ya kiangazi, lakini alibaki PSG huku ikidaiwa kwamba kuna uwezekano mkubwa dili hilo likakamilishwa kwenye usajili ujao wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
Baada ya kusajiliwa kwa ada iliyovunja rekodi ya dunia ya Pauni 198 milioni mwaka 2017, Neymar ameshindwa kuendana na kasi huku akiandamwa na majeruhi mfululizo yanayomtibulia kwenye jitihada zake za kubeba tuzo ya Ballon d’Or. Real Madrid nao waliingia kwenye vita ya kumtaka Neymar.

Let's block ads! (Why?)

ROMA Afunguka Tetesi za Kutishiwa Pamoja ishu ya Kuhamia Marekani Kisa Wimbo ‘Naitwa Roma’ (Audio)


Msanii wa muziki, Roma Mkatoliki ambaye kwa sasa yupo Marekani kwaajili ya mapunziko baada ya kuachia tu wimbo wake ‘Naitwa Roma’, amefunguka kuzungumzia tetesi za kwamba aliamua kukimbia nchini baada ya kuachia wimbo huo kwa kuogopa matatizo.

VIDEO:



Messi amtumia ujumbe Neymar

BARCELONA, HISPANIA . NDO hivyo. Lionel Messi amemwomba Neymar arudi kukipiga Barcelona baada ya kuumizwa na namna walivyotupwa nje kwa udhalilishaji mkubwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Liverpool msimu uliopita.
Kwa msimu wa pili mfululizo, Barcelona ilikwenda kucheza mechi za marudiano za hatua ya nusu fainali ikiwa na mtaji mzuri wa mabao kwenye ushindi wa kwanza, lakini mara zote waliteseka na kutupwa nje, ikiwamo lile tukio la msimu ulipita lililotokea Anfield walipopigwa 4-0 kwenye mechi ya marudiano wakati ile ya kwanza ya Nou Camp walishinda 3-0.
Kwa mujibu wa France Football, baada ya kutolewa kwa udhalilishaji, nahodha wa Barca alichukua simu yake na kumtumia meseji ya WhatsApp staa Neymar akimwambia: “Tukiwa pamoja tu ndio tunaweza kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nakutaka urudi. Miaka miwili ijayo, nitaondoka na utabaki wewe, utachukua nafasi yangu.”
Mkurugenzi wa soka wa Barcelona, Eric Abidal amethibitisha kwamba suala la kumrudisha supastaa huyo wa Kibrazili kwenye kikosi chao ni jambo lililopo kwenye mpango. Neymar alionekana kuwa kwenye nafasi ya kurudi Barcelona kwenye dirisha lililopita la uhamisho wa majira ya kiangazi, lakini alibaki PSG huku ikidaiwa kwamba kuna uwezekano mkubwa dili hilo likakamilishwa kwenye usajili ujao wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
Baada ya kusajiliwa kwa ada iliyovunja rekodi ya dunia ya Pauni 198 milioni mwaka 2017, Neymar ameshindwa kuendana na kasi huku akiandamwa na majeruhi mfululizo yanayomtibulia kwenye jitihada zake za kubeba tuzo ya Ballon d’Or. Real Madrid nao waliingia kwenye vita ya kumtaka Neymar.

Let's block ads! (Why?)

Messi amtumia ujumbe Neymar

BARCELONA, HISPANIA . NDO hivyo. Lionel Messi amemwomba Neymar arudi kukipiga Barcelona baada ya kuumizwa na namna walivyotupwa nje kwa udhalilishaji mkubwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Liverpool msimu uliopita.
Kwa msimu wa pili mfululizo, Barcelona ilikwenda kucheza mechi za marudiano za hatua ya nusu fainali ikiwa na mtaji mzuri wa mabao kwenye ushindi wa kwanza, lakini mara zote waliteseka na kutupwa nje, ikiwamo lile tukio la msimu ulipita lililotokea Anfield walipopigwa 4-0 kwenye mechi ya marudiano wakati ile ya kwanza ya Nou Camp walishinda 3-0.
Kwa mujibu wa France Football, baada ya kutolewa kwa udhalilishaji, nahodha wa Barca alichukua simu yake na kumtumia meseji ya WhatsApp staa Neymar akimwambia: “Tukiwa pamoja tu ndio tunaweza kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nakutaka urudi. Miaka miwili ijayo, nitaondoka na utabaki wewe, utachukua nafasi yangu.”
Mkurugenzi wa soka wa Barcelona, Eric Abidal amethibitisha kwamba suala la kumrudisha supastaa huyo wa Kibrazili kwenye kikosi chao ni jambo lililopo kwenye mpango. Neymar alionekana kuwa kwenye nafasi ya kurudi Barcelona kwenye dirisha lililopita la uhamisho wa majira ya kiangazi, lakini alibaki PSG huku ikidaiwa kwamba kuna uwezekano mkubwa dili hilo likakamilishwa kwenye usajili ujao wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
Baada ya kusajiliwa kwa ada iliyovunja rekodi ya dunia ya Pauni 198 milioni mwaka 2017, Neymar ameshindwa kuendana na kasi huku akiandamwa na majeruhi mfululizo yanayomtibulia kwenye jitihada zake za kubeba tuzo ya Ballon d’Or. Real Madrid nao waliingia kwenye vita ya kumtaka Neymar.

Let's block ads! (Why?)

Messi amtumia ujumbe Neymar

BARCELONA, HISPANIA . NDO hivyo. Lionel Messi amemwomba Neymar arudi kukipiga Barcelona baada ya kuumizwa na namna walivyotupwa nje kwa udhalilishaji mkubwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Liverpool msimu uliopita.
Kwa msimu wa pili mfululizo, Barcelona ilikwenda kucheza mechi za marudiano za hatua ya nusu fainali ikiwa na mtaji mzuri wa mabao kwenye ushindi wa kwanza, lakini mara zote waliteseka na kutupwa nje, ikiwamo lile tukio la msimu ulipita lililotokea Anfield walipopigwa 4-0 kwenye mechi ya marudiano wakati ile ya kwanza ya Nou Camp walishinda 3-0.
Kwa mujibu wa France Football, baada ya kutolewa kwa udhalilishaji, nahodha wa Barca alichukua simu yake na kumtumia meseji ya WhatsApp staa Neymar akimwambia: “Tukiwa pamoja tu ndio tunaweza kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nakutaka urudi. Miaka miwili ijayo, nitaondoka na utabaki wewe, utachukua nafasi yangu.”
Mkurugenzi wa soka wa Barcelona, Eric Abidal amethibitisha kwamba suala la kumrudisha supastaa huyo wa Kibrazili kwenye kikosi chao ni jambo lililopo kwenye mpango. Neymar alionekana kuwa kwenye nafasi ya kurudi Barcelona kwenye dirisha lililopita la uhamisho wa majira ya kiangazi, lakini alibaki PSG huku ikidaiwa kwamba kuna uwezekano mkubwa dili hilo likakamilishwa kwenye usajili ujao wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
Baada ya kusajiliwa kwa ada iliyovunja rekodi ya dunia ya Pauni 198 milioni mwaka 2017, Neymar ameshindwa kuendana na kasi huku akiandamwa na majeruhi mfululizo yanayomtibulia kwenye jitihada zake za kubeba tuzo ya Ballon d’Or. Real Madrid nao waliingia kwenye vita ya kumtaka Neymar.

Let's block ads! (Why?)

Messi amtumia ujumbe Neymar

BARCELONA, HISPANIA . NDO hivyo. Lionel Messi amemwomba Neymar arudi kukipiga Barcelona baada ya kuumizwa na namna walivyotupwa nje kwa udhalilishaji mkubwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Liverpool msimu uliopita.
Kwa msimu wa pili mfululizo, Barcelona ilikwenda kucheza mechi za marudiano za hatua ya nusu fainali ikiwa na mtaji mzuri wa mabao kwenye ushindi wa kwanza, lakini mara zote waliteseka na kutupwa nje, ikiwamo lile tukio la msimu ulipita lililotokea Anfield walipopigwa 4-0 kwenye mechi ya marudiano wakati ile ya kwanza ya Nou Camp walishinda 3-0.
Kwa mujibu wa France Football, baada ya kutolewa kwa udhalilishaji, nahodha wa Barca alichukua simu yake na kumtumia meseji ya WhatsApp staa Neymar akimwambia: “Tukiwa pamoja tu ndio tunaweza kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nakutaka urudi. Miaka miwili ijayo, nitaondoka na utabaki wewe, utachukua nafasi yangu.”
Mkurugenzi wa soka wa Barcelona, Eric Abidal amethibitisha kwamba suala la kumrudisha supastaa huyo wa Kibrazili kwenye kikosi chao ni jambo lililopo kwenye mpango. Neymar alionekana kuwa kwenye nafasi ya kurudi Barcelona kwenye dirisha lililopita la uhamisho wa majira ya kiangazi, lakini alibaki PSG huku ikidaiwa kwamba kuna uwezekano mkubwa dili hilo likakamilishwa kwenye usajili ujao wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
Baada ya kusajiliwa kwa ada iliyovunja rekodi ya dunia ya Pauni 198 milioni mwaka 2017, Neymar ameshindwa kuendana na kasi huku akiandamwa na majeruhi mfululizo yanayomtibulia kwenye jitihada zake za kubeba tuzo ya Ballon d’Or. Real Madrid nao waliingia kwenye vita ya kumtaka Neymar.

Let's block ads! (Why?)

VIDEO: Tundu Lissu Aanza Kazi, Mbowe Aweka Wazi ''Amechukua Fomu''



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA taifa Freeman Mbowe amethibitisha kuwa aliyekua mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amejaza na kusaini fomu ya kuwania nafasia ya makamu mwenyekiti wa chama hicho.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.



Klopp aambiwa anajisumbua kwa Mbappe, hampati

MONACO, UFARANSA . ALIYEKUWA makamu wa rais wa AS Monaco, Vadim Vasilyev amewaambia Liverpool wasijisumbue kabisa kuhusu kuhangaika kumsajili straika wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe kwa sababu hawawezi kumpata.
Liverpool wamekuwa wakihusishwa na staa huyo mshindi wa Kombe la Dunia, lakini Vasilyev alisema Mbappe mpango wake wote ni kwenda Real Madrid na hilo halina mjadala ni suala la muda tu.
Vasilyev, ambaye ndiye aliyemuuza Mbappe kwenda PSG, aliliambia Le Parisien: "Kylian atakwenda Real Madrid, sijui ni lini, lakini hilo halizuiliki.
"Klabu hiyo ni muhimu sana kwenye maisha yake. Madrid walileta ofa tamu zaidi kuliko PSG mwaka 2017, lakini aliniambia kwamba anadhani ilikuwa mapema sana kuondoka Ufaransa na Paris ndio nyumbani kwake.
"Alitaka kuwa mchezaji mahiri Ufaransa kwamba apate muda wa kuonyesha kiwango chake kwao kwanza kabla ya mengi na hapo Kylian alionyesha kuwa na akili kubwa. Kwa sasa ni mchezaji bora kabisa Ufaransa na PSG wana pesa za kutosha kuendelea kumbakiza kwenye timu yao."
Baada ya kusikia kwamba Mbappe mwenyewe yupo tayari kuachana na PSG, Liverpool inayonolewa na Mjerumani, Jurgen Klopp ilionekana kuwa na dhamira ya dhati ya kunasa huduma ya supastaa huyo wa kimataifa wa Ufaransa.

Let's block ads! (Why?)

Klopp aambiwa anajisumbua kwa Mbappe, hampati

MONACO, UFARANSA . ALIYEKUWA makamu wa rais wa AS Monaco, Vadim Vasilyev amewaambia Liverpool wasijisumbue kabisa kuhusu kuhangaika kumsajili straika wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe kwa sababu hawawezi kumpata.
Liverpool wamekuwa wakihusishwa na staa huyo mshindi wa Kombe la Dunia, lakini Vasilyev alisema Mbappe mpango wake wote ni kwenda Real Madrid na hilo halina mjadala ni suala la muda tu.
Vasilyev, ambaye ndiye aliyemuuza Mbappe kwenda PSG, aliliambia Le Parisien: "Kylian atakwenda Real Madrid, sijui ni lini, lakini hilo halizuiliki.
"Klabu hiyo ni muhimu sana kwenye maisha yake. Madrid walileta ofa tamu zaidi kuliko PSG mwaka 2017, lakini aliniambia kwamba anadhani ilikuwa mapema sana kuondoka Ufaransa na Paris ndio nyumbani kwake.
"Alitaka kuwa mchezaji mahiri Ufaransa kwamba apate muda wa kuonyesha kiwango chake kwao kwanza kabla ya mengi na hapo Kylian alionyesha kuwa na akili kubwa. Kwa sasa ni mchezaji bora kabisa Ufaransa na PSG wana pesa za kutosha kuendelea kumbakiza kwenye timu yao."
Baada ya kusikia kwamba Mbappe mwenyewe yupo tayari kuachana na PSG, Liverpool inayonolewa na Mjerumani, Jurgen Klopp ilionekana kuwa na dhamira ya dhati ya kunasa huduma ya supastaa huyo wa kimataifa wa Ufaransa.

Let's block ads! (Why?)

Klopp aambiwa anajisumbua kwa Mbappe, hampati

MONACO, UFARANSA . ALIYEKUWA makamu wa rais wa AS Monaco, Vadim Vasilyev amewaambia Liverpool wasijisumbue kabisa kuhusu kuhangaika kumsajili straika wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe kwa sababu hawawezi kumpata.
Liverpool wamekuwa wakihusishwa na staa huyo mshindi wa Kombe la Dunia, lakini Vasilyev alisema Mbappe mpango wake wote ni kwenda Real Madrid na hilo halina mjadala ni suala la muda tu.
Vasilyev, ambaye ndiye aliyemuuza Mbappe kwenda PSG, aliliambia Le Parisien: "Kylian atakwenda Real Madrid, sijui ni lini, lakini hilo halizuiliki.
"Klabu hiyo ni muhimu sana kwenye maisha yake. Madrid walileta ofa tamu zaidi kuliko PSG mwaka 2017, lakini aliniambia kwamba anadhani ilikuwa mapema sana kuondoka Ufaransa na Paris ndio nyumbani kwake.
"Alitaka kuwa mchezaji mahiri Ufaransa kwamba apate muda wa kuonyesha kiwango chake kwao kwanza kabla ya mengi na hapo Kylian alionyesha kuwa na akili kubwa. Kwa sasa ni mchezaji bora kabisa Ufaransa na PSG wana pesa za kutosha kuendelea kumbakiza kwenye timu yao."
Baada ya kusikia kwamba Mbappe mwenyewe yupo tayari kuachana na PSG, Liverpool inayonolewa na Mjerumani, Jurgen Klopp ilionekana kuwa na dhamira ya dhati ya kunasa huduma ya supastaa huyo wa kimataifa wa Ufaransa.

Let's block ads! (Why?)

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...