Search This Blog

Saturday, November 30, 2019

ROMA Afunguka Tetesi za Kutishiwa Pamoja ishu ya Kuhamia Marekani Kisa Wimbo ‘Naitwa Roma’ (Audio)


Msanii wa muziki, Roma Mkatoliki ambaye kwa sasa yupo Marekani kwaajili ya mapunziko baada ya kuachia tu wimbo wake ‘Naitwa Roma’, amefunguka kuzungumzia tetesi za kwamba aliamua kukimbia nchini baada ya kuachia wimbo huo kwa kuogopa matatizo.

VIDEO:



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...