Search This Blog

Tuesday, September 21, 2021

Uchaguzi wa Canada: Trudeau asalia madarakani lakini akosa kura ya wengi

Baada ya wiki tano za kampeni, bunge lililochaguliwa na Wacanada wakati huu linaonekana sawa na lilie walilopigia kura mwaka t2019.

Justin Trudeau amesalia madarakani lakini anakosa wingi wa wajumbe Chama cha Conservative kimeshinda kura ya wengi lakini kimekosa viti vya kutosha kumuondoa madarakani Trudeau wa chama cha Liberal.

Ijapokuwa matokeo yataendelea kuwasilishwa katika siku zijazo wakati maafisa wa uchaguzi wanaendelea kujumuisha kura zilizopigwa kwa njia ya posta, hakuna kinachokadiriwa kubadilisha matokeo jumla ya uchaguzi.

Trudeau aliangazia hatua hiyo kama ushindi katika hotuba kwa wafuasi mapema Jumanne, akiwaambia kuwa "tulichoona usiku wa leo ni mamilioni ya Wakanada [ambao] wamechagua mpango wa maendeleo"

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...