Kundi la Kijeshi lililofanya Mapinduzi limetoa Waraka unaoahidi kurejesha Utawala wa kiraia. Wameeleza kuandika Rasimu ya #Katiba mpya, kufanyika Uchaguzi huru na wa Haki
Hata hivyo, Waraka huo haujaeleza muda ambao hayo yatafanyika. Kwa sasa #Guinea itaongozwa na Taasisi 4 za Serikali ikiwemo Kamati ya Kitaifa ya Maendeleo na Bunge la Mpito
No comments:
Post a Comment