Search This Blog

Tuesday, August 24, 2021

Rais Samia awasili Zambia


Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Zambia, kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Taifa hilo Hakainde Hichilema.
 
Sherehe za kuapishwa kwa Rais huyo Mteule wa 7 wa Zambia zinafanyika katika uwanja wa Taifa wa Mashujaa jijini Lusaka.
 
Marais wengine wanaoshiriki katika sherehe hizo ni pamoja na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Mokgweetsi Masisi wa Botswana na Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...