Search This Blog
Monday, August 23, 2021
Kesi ya Mbowe kuendelea leo
Kesi namba 63/2020 ya Uhujumu Uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inaendelea katika Mahakma ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo Agosti 23, 2021.
Kesi hiyo yenye mashtaka ya Ugaidi, imeitwa leo chini ya hati ya dharura mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu ,Thomas Simba ambapo Agosti 13 mwaka huu kesi hiyo iliahirishwa hadi Agosti 27.
Hatua hiyo ni baada ya Mwendesha Mashtaka wa serikali (DPP) kuwasilisha hati ya Mashtaka na Ushahidi katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salam ambayo imesajiliwa kama kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment