Search This Blog
Monday, August 23, 2021
Wasafiri lazima kupimwa corona kuanzia septemba Uganda
Wasafiri wote watakaoingiaUganda kuanzia Septemba 3, 2021 wakiwemo Raia wa Nchi hiyo watatakiwa kupimwaCOVID19 kabla hawajaruhusiwa
-
Kanuni za awali ziliwataka wasafiri kuonesha vipimo vilivyochukuliwa saa 72 kabla ya safari vikionesha hawana maambukizi, lakini kutokana na kuwepo Vyeti feki na aina mpya za Virusi, Kanuni zimefanyiwa marekebisho
-
Aidha, wataokutwa na maambukizi watapelekwa maeneo yaliyotengwa na Serikali tofauti na mwanzo ambapo walipewa nafasi ya kukaa mahali walipochagua wenyewe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment