Search This Blog
Thursday, July 29, 2021
Waziri Ummy Mwalimu atoa siku saba uchunguza vifo vya wanafunzi tatu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu ametoa siku saba kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza vifo vya wanafunzi tatu waliofariki kwa kufunikwa na kifusi katika shule ya msingi Mbori, Kata ya Motondo wilayani Mpwapwa.
Wakati huo huo Ummy amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuwaondoa Walimu wote wa shule ya Msingi Mbori kupisha uchunguzi unaondelea.
Waziri Ummy ametoa kauli hiyo wakati aliposhiriki kuaga Miili ya wanafunzi tatu waliofariki kwenye ajali ya kufukiwa na mchanga katika shule ya Msingi Mbori Julai 27, mwaka huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment