Search This Blog

Thursday, July 29, 2021

Alikiba aharirisha kuachia video yake leo kisa hiki hapa


Msanii Alikibaa ametangaza kuahirisha kuachia video yake mpya ya wimbo "Jealous" aliomshirikisha msanii Mayorkun leo Alhamisi kupisha msiba wa mtoto wa mtangazaji Masoud Kipanya Malcom, ambaye alikuwa rafiki yake na shabiki wa muziki wake.
Kiba kupitia ukurasa wake wa twitter, ameeleza kuwa ataachia video ya wimbo huo Kesho Ijumaa SAA 5 Asubuhi.

''Owing to the unfortunate demise of my dear friend Malcom Ally Masoud, I have decided to postpone the release of the music video for “Jealous” until 11 am on Friday, 30th July. #MalcomTheBeliever #DontGiveUp'' - ameelezaAlikiba.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi, Amin.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...