Search This Blog
Thursday, July 29, 2021
Alikiba aharirisha kuachia video yake leo kisa hiki hapa
Msanii Alikibaa ametangaza kuahirisha kuachia video yake mpya ya wimbo "Jealous" aliomshirikisha msanii Mayorkun leo Alhamisi kupisha msiba wa mtoto wa mtangazaji Masoud Kipanya Malcom, ambaye alikuwa rafiki yake na shabiki wa muziki wake.
Kiba kupitia ukurasa wake wa twitter, ameeleza kuwa ataachia video ya wimbo huo Kesho Ijumaa SAA 5 Asubuhi.
''Owing to the unfortunate demise of my dear friend Malcom Ally Masoud, I have decided to postpone the release of the music video for “Jealous” until 11 am on Friday, 30th July. #MalcomTheBeliever #DontGiveUp'' - ameelezaAlikiba.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi, Amin.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment