Search This Blog
Thursday, July 29, 2021
Wizara ya Afya yafunguka baada ya gumzo la watu kuhusu muhudu aliokua akitoa chanjo kutovaa gloves
Baada ya siku ya Jana Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine kuchanjwa chanzo ya COVID-19, gumzo lilikuwa ni yule mhudumu wa afya kuwachoma chanjo viongozi bila kuvaa Gloves. Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi.
"Kwa mujibu wa muongozo , Gloves hazishauriwi kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo yeyote na pia kwa chanjo ya Covid-19"
"Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais na viongozi wengine alikua sahihi kutovaa gloves".
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment