Search This Blog

Thursday, July 29, 2021

Hukumu ya Bernard Morrison kutolewa leo


Kesi inayomuhusisha aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Yanga ambaye kwa hivi sasa anakipiga Simba Sc, Bernard Morrison itasikilizwa na kutolewa hukumu leo hii.

Morrison anadai kuwa hajasaini mkataba wa kuongeza miaka miwili Yanga huku Yanga na wao wakidai mchezaji huyo ni mali yao.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...