Search This Blog

Wednesday, July 7, 2021

Kijana wa miaka 30 asakwa na polisi kwa tuhuma kubaka na kumuua mtoto wa kaka yake

 


John Walter-Babati.

 Mkazi wa kijiji cha Mutuka wilayani Babati Mkoa wa Manyara, Emmanuel Naasi (30) anasakwa na polisi akituhumiwa kumbaka na kumuua mtoto wa kaka yake mwenye umri wa miaka mitano.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Marrison Mwakyoma amesema tukio hilo limetokea  Julai 5, 2021  saa 12 jioni na kwamba Naasi alikutana na mtoto huyo na wenzake wawili wakitoka kuchota maji na kuanza kuwakimbiza

Amesema watoto wawili waliokuwa na marehemu ndio waliokwenda kutoa taarifa kijijini na shughuli ya kutafuta mwili ikaanza na kupatikana saa 2 usiku.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...