Search This Blog

Saturday, July 24, 2021

Chanjo ya corona yawasili nchini

 


Marekani Imeipatia Tanzania Dozi Milioni 1 ya Chanjo za COVID-19 ambazo ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Chanjo hizo zimewasili nchini Tanzania kwa shirika la ndege la Emirates na Kupokelewa na Waziri wa Afya Dk Dorothy Gwajima, Waziri wa Mambo ya Nje Balozi, Liberata Mulamula pamoja na Balozi wa Marekani nchini #Tanzania Donald Wright katika Uwaja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...