Search This Blog

Saturday, July 24, 2021

RC Kigoma ataka kila shabiki atayeingia kuiona simba na yanga kesho avae barakoa

 


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ameagiza kila Shabiki atakayeingia Uwanjani kutazama Mechi ya Simba vs Yanga Mkoani humo avae barakoa ili kujikinga na Janga la Ugonjwa (Covid-19) Corona.

Andengenye amesema ili kujikinga na ugonjwa huo ni vizuri Mashabiki wote watakaoingia Uwanja wa Lake Tanganyika kutazama Mechi ya Simba vs Yanga inayotarajiwa kuchezwa July 25,2021 wachukue tahadhari ikiwemo kuvaa Barakoa “bila barakoa hauingii uwanjani”



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...