Search This Blog

Saturday, June 12, 2021

Simba yatambulisha jezi mpya kwa mechi za kombe la shirikisho

 MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Federation Cup, Simba leo Juni  12 wametambulisha jezi mpya watakazotumia katika michuano hiyo.


Simba imetinga hatua ya nusu fainali baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji na itakutana na Azam FC katika hatua hiyo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...