Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Juni 12, amezindua mitambo mipya ya moyo (Cathlab) katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) mkoani Dar es Salaam.
Taasisi hiyo imeweza kuokoa maisha ya Watanzania 444,848 tangu ianzishwe na imejidhatiti kuwa moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi amemwambia Rais
No comments:
Post a Comment