Search This Blog

Saturday, May 15, 2021

Rais Samia amteua David Kafulil kuwa RC Arusha


Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. David Zacharia Kafulila kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha. Kafulila anachukua nafasi ya Bw. Idd Hassan Kimanta ambaye amestaafu

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...