Search This Blog

Saturday, May 15, 2021

Breaking: Rais Samia Suluhu amteua Aboubakari Kunenge kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na watendaji wakuu wa taasisi kama ifuatavyo;

 Rais Samia Suluhu amemteua Aboubakari Kunenge kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, kabla ya uteuzi Kunenge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na anachukua nafasi ya Mhandisi Evarist Ndikilo ambaye amestaafu.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...