Search This Blog

Saturday, May 15, 2021

Mej. Jen. Marco Elisha Gaguti ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara


Rais Samia amemteua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mej. Jen. Marco Elisha Gaguti kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo, Gelasius Gasper Byakanwa atapangiwa majukumu mengine




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...