Search This Blog

Tuesday, May 11, 2021

Mchezo wa Simba v Yanga kurudiwa

Makubaliano yamefikiwa kwenye kikao kilichoongozwa na Waziri Bashungwa kwamba mechi ya Simba na Yanga irudiwe "Wizara inaliacha swala hili katika taratibu za TFF na Bodi ya Ligi ili wakae haraka iwezekanavyo na kutoa tarehe ya kurudiwa kwa mechi hiyo"
 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...