Waziri Bashungwa ameagiza kituo cha Kitaifa cha Data kinachosimamia N-card kuwarejeshea tiketi zao kwenye mfumo wa kadi za kuingilia uwanjani Mashabiki wote wa Simba na Yanga 43,947 ili siku ya kurudiwa mechi wakae uwanjani eneo lilelile walilolilipia awali.

No comments:
Post a Comment