Search This Blog

Friday, May 28, 2021

Diamond Platnumz amechaguliwa kuwania Tuzo ya BET 2021

 


Staa wa muziki Barani Afrika SIMBA Diamond Platnumz amechaguliwa kuwania Tuzo katika Tuzo kubwa za Muziki za @betawards Mwaka huu 2021 katika kipengele cha "Best International Act"

Mastaa wengine walioteuliwa kuwa Tuzo katika kipengele hicho ni pamoja na #StarBoy @Wizkidayo, @ayanakamura_officiel, @burnaboygram, @emicida, @HeadieOne, @YoungTandBugsey na @youssouphamusik

Katika Tuzo hizo ambazo zinatolewa Juni 27, Mwaka Huu 2021 Afrika Mashariki inawakiliswa na SIMBA @diamondplatnumz Pekee



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...