Search This Blog

Friday, May 28, 2021

Kikosi cha Simba chatua salama Mtwara

 


KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes leo Mei 28 kimewasili Mtwara ili kuunganisha safari kuelekea Ruangwa.

Kesho Mei 29 kina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Bara,

Ni mchezo wa kwanza kwa Namungo v Simba kumenyana ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21.

Miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Chris Mugalu, Meddie Kagere, Taddeo Lwanga.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...