Search This Blog

Thursday, February 25, 2021

Sanamu la mwisho la Francisco Franco laondolewa


Sanamu ya mwisho ya Francisco Franco, ambaye alitawala Uhispania chini ya udikteta kwa karibu miaka 40, pia imeondolewa na kuwekwa kwenye hifadhi.

Chini ya Sheria ya Kumbukumbu ya Kihistoria ya Nchi ya 2007, sanamu zote za Franco na mahali penye jina lake vilipaswa kufutwa na kuondolewa.

Katika muktadha huu, hatua ya mwisho imechukuliwa Melilla, Sanamu hiyo, iliuwekwa jijini humo miaka mitatu baada ya kifo cha Franco mnamo 1978, imeodolewa.

Uhispania na makabila ya Morocco yalipigana katika vita vya Rif mnamo 1920.

Sanamu hiyo iliashiria jukumu la Franco, ambaye aliamuru Jeshi la Uhispania wakati huo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...