Watu wanne kutoka kwenye kundi la Madaktari Wasiokuwa na Mipaka (MSF) wametekwa nyara nchini Mali.
Kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya ndani, wafanyikazi 8 wa MSF wanaofanya kazi katika kuanzishwa kwa kliniki katika eneo la ndani la nchi huko Mopti wametekwa nyara na watu wasiojulikana wenye silaha.
Wakati wanawake 4 katika kikundi hicho waliachiliwa, hakuna habari yoyote mpaka hivi sasa kutoka kwa wanaume 4 ambao walitekwa pia.
Mopti imekuwa ikilengwa mara kwa mara na makundi ya kigaidi tangu 2012.

No comments:
Post a Comment