Search This Blog

Tuesday, January 19, 2021

Bill Gates ndiye mmiliki wa ardhi kubwa zaidi Marekani


Mwanzilishi wa kampuni kubwa ya teknolojia ya kimataifa ya Microsoft nchini Marekani Bill Gates, ameongeza zaidi ya ekari milioni 1 ya ardhi kwa utajiri wake wa dola bilioni 132 na kuwa mmiliki mkubwa zaidi wa ardhi nchini.

Gates alinunua zaidi ya ekari milioni 1 ya ardhi katika majimbo 18 yanayoanzia Washington hadi Florida.

Miongoni mwa ardhi hizo za Gates ni pamoja na ekari elfu 979 za ardhi ya kilimo na elfu 109 za ardhi nyingine ya matumizi.

Bado haijulikani ni madhumuni ya bilionea huyo wa Marekani kuwekeza sana katika ardhi ya kilimo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...