Search This Blog

Thursday, December 17, 2020

Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp ametwaa tuzo ya kocha bora

 


Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp ametwaa tuzo ya kocha bora wa kiume wa mwaka wa FIFA 2020 , akiwashinda makocha Hans Flick wa Bayern na Marcelo Bielsa wa Leeds United

Klopp ametwaa tuzo hii mara mbili mfululizo

2019

2020



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...