MSIMAMIZI wa uchaguzi Jimbo la Mbeya Mjini leo Oktoba 29, 2020 amemtangaza Tulia Ackson kupitia CCM kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo, ambaye amepata kura 75,225 na kumshinda aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Joseph Mbilinyi aliyepata kura 37,561
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment