Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Breaking: Freeman Mbowe ashindwa kutetea kiti chake jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe ashinda Ubunge



Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema ambaye pia alikuwa kuwa mbunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe ameshindwa kutetea kiti chake, baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura na mgombea wa CCM, Saashisha Mafuwe.

Matokeo: Jimbo la Hai Mkoa wa Kilimanjaro

Mbaruku Salehe Muhina ACT Wazalendo ….315

Saasisha Mafuwe CCM…..89,786

Freeman Mbowe Chadema…27,684

Jumla ya kura zilizopigwa….101785


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...