Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema ambaye pia alikuwa kuwa mbunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe ameshindwa kutetea kiti chake, baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura na mgombea wa CCM, Saashisha Mafuwe.
Matokeo: Jimbo la Hai Mkoa wa Kilimanjaro
Mbaruku Salehe Muhina ACT Wazalendo ….315
Saasisha Mafuwe CCM…..89,786
Freeman Mbowe Chadema…27,684
Jumla ya kura zilizopigwa….101785

No comments:
Post a Comment