Polisi nchini Ujerumani walifanikiwa kuwazuia watu wenye itikadi kali za mrengo wa kulia waliotaka kulivamia jengo la bunge hapo jana Jumamosi.
Kundi la waandamanaji hao walioondolewa kutoka eneo hilo walikuwa wanapinga vizuizi vya kukabiliana na janga la corona.
Maelfu ya watu walihudhuria maandamano hayo yaliodumu kwa siku nzima kupinga kuvaa barakoa na taratibu nyingine zenye lengo la kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona.
Polisi iliwaamuru waandamanaji kutawanyika katika mikusanyiko yao katika maeneo ya jiji la Berlin baada ya kushindwa kutekeleza kanuni ya kujitenga, lakini mkusanyiko uliopangwa kufanyika katika lango la kihistoria la Brandenburg uliendelea kama kawaida.
Polisi inasema takribani watu 300 wametiwa mbaroni kufuatia ghasia hizo za maandamano hayo ambayo yalijumisha takribani watu 38,000.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment