Rais Donald Trump wa Marekani ameelek mji wa Kenosha, jimboni Wisconsin, ambako kumekuwa na vurugu tangu ofisa wa polisi alipomfyatulia risasi mgongoni Mmarekani mweusi.
Rais Trump aliyasema hayo mjini Texas, baada ya kuulizwa na waandishi wa habari kama anawezea kwenda katika mji huo, ambao afisa wa polisi alimfyatulia risasi Jacob Blake ambae kwa hivi sasa anapatiwa matibabu baada ya kupooza sehemu yake ya chini ya mwili kuanzia kiunoni kutokana na kushambuliwa kwa risasi.
Kijana wa umri wa miaka 17 anashikiliwa na mamlaka ya Kenosha kwa kuhusishwa na mashashambulizi watu watatu waliokuwa wakiandamana kupinga shambulizi la Blake, ambapo wawili miongoni mwa hao walipoteza maisha.
Hata hivyo Trump ambae ambae alikuwa mjini Texas kwa ajili ya kutathimni athari za kimbunga Laura, hakutoa ufafanuzi zaidi kuhusu safari yake hiyo.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment