Search This Blog

Monday, July 20, 2020

Ridhiwani Kikwete Aibuka Mshindi Jimbo la Chalinze



Katika Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amepata kura za maoni 369 za kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akifuatiwa na Ramdhani Maneno, aliyepata kura 273 na watatu Said Zikatimu kura 223.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...