Search This Blog
Monday, July 20, 2020
Kigwangala Ashinda Kura za Maoni Jimbo la Nzega
Waziri wa Maliasili na Utalii Kigwangala aongoza kura za maoni Jimbo la Nzega Vijijini kwa kupata kura 415 kati ya 731 zilizopigwa, John Doto Kisute amepata kura 264, Gabriel Ishole amepata kura 8. Wagombea wengine 16 wamepata chini ya kura 3 kila mmoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment