Search This Blog

Monday, July 20, 2020

Kigwangala Ashinda Kura za Maoni Jimbo la Nzega


Waziri wa Maliasili na Utalii Kigwangala aongoza kura za maoni Jimbo la Nzega Vijijini kwa kupata kura 415 kati ya 731 zilizopigwa,  John Doto Kisute amepata kura 264, Gabriel Ishole amepata kura 8. Wagombea wengine 16 wamepata chini ya kura 3 kila mmoja.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...