Search This Blog

Tuesday, July 28, 2020

Rais mstaafu Benjamin Mkapa aagwa kitaifa leo

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli anaongoza mamia ya watu katika hafla ya kitaifa ya kumuaga rais mstaafu wa taifa hilo Benjamin Mkapa ambaye aliaga dunia usiku wa kuamkia Ijumaa.

Toka Jumapili mwili wa Marehemu Mkapa umekuwa ukiagwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Hii leo, ni zamu ya viongozi wakuu wa taifa hilo pamoja na wageni kutoka nje kuaga.

Mzee Mkapa anatarajiwa kuzikwa kesho Kijijini kwake Lupaso, mkoni Mtwara kusini mwa Tanzania.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...