Toka Jumapili mwili wa Marehemu Mkapa umekuwa ukiagwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Hii leo, ni zamu ya viongozi wakuu wa taifa hilo pamoja na wageni kutoka nje kuaga.
Mzee Mkapa anatarajiwa kuzikwa kesho Kijijini kwake Lupaso, mkoni Mtwara kusini mwa Tanzania.

No comments:
Post a Comment