Search This Blog
Monday, July 27, 2020
Mke wa Tundu Lissu apewe TUZO, Mambo Aliyopitia Kumtibu Mumewe Mpaka Amepona Sio Rahisi
Nimeguswa kuandika hili, ukizingatia leo tunampokea Tundu lissu niliyempa jina la "Muujiza unaoishi".
Natambua sana kuwa wanawake ni wavumilivu sana sana hasa kwenye shida ngumu wanazopitia. Lakini leo nitambue uwepo wa Mke wa tundu Lisu kama mpambanaji aliyekuwa beneti na mumewe wakati wote wa shida zilizomkuta Lisu.
Tumeona karibu miaka yote hii akiwa na mumewe beneti mpaka sasa tunaona Lisu anatembea akiwa mzima. HUU NI USHUHUDA MKUBWA sana.
Ningependa Bavicha, waandae tuzo maalumu kwa ajili ya mke wa Lissu. Kwani ni mpambanaji anayestahili kupewa tuzo.
Ahsanten
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment