Search This Blog
Monday, July 27, 2020
Hili Hapa Gari Aina ya Benz Alilokuwa Anatumia Marehemu Rais Benjamin Mkapa.
Gari hili aina ya Benz lilikuwa la Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa.
Mzee Mkapa alikuwa akilitumia gari hilo kabla ya kuwa Rais wa Tanzania mwaka 1995, ambapo kwa wakati huo alikuwa Mbunge wa Nanyumbu na waziri.
Sasa hivi Benz hiyo inatumiwa na ndugu wa marehemu ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Masasi, Patrick Mkapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment