Search This Blog

Thursday, July 2, 2020

Bangi zaidi ya tani mbili zakamtwa Arusha



Jeshi la polisi kwa kushirikiana na mamlaka yakupamabana na kudhibiti dawa za kulevya  nchini wamekamata nakuteketeza kwa moto madawa yakulevya aina ya bangi magunia 160 ambayo ni zaidi ya tani mbili walizozikamata  zikiwa zimehiadhiwa nyumbani kwa watuhumiwa wawili katika kijiji cha Engalauni wilayani Arumeru mkoani

Kaimu kamishna  jenerali wa mamlaka yakupamabana na dawa za kulevya nchini James Kaji amesema katika operesheni hiyo waliyoifanya wamefanikiwa kuwakamatwa watu wawili na taratibu za kisheria zitakapokamilika watapelekwa mahakamani




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...