Search This Blog
Thursday, July 2, 2020
Familia ya Bilionea Laizer yafafanua Bilioni 7.8
Familia ya Bilionea mpya wa nchi Saniniu Laizer imesema familia yao imekuwa kwa nidham ya juu na ushirikiano mkubwa hivyo hawaoni sababu ya kuanzisha migogoro kwenye familia kisa pesa zake.
Akizungumza kuhusu mgawanyo wa pesa hizo ndugu, mwanafamilia na meneja wa Bilionea Laizer aitwaye Kiria Laizer ameeleza kuwa
"Kuhusu migogoro ya pesa inategemea familia yenu imekuaje, sisi familia yetu tumekua kwa nidhamu ya juu na kila kitu kipo kwenye ushirikiano, hakuna namna ambavyo pesa zake inaweza kuleta shida kwa familia, yeye amekua mtu wa ushirikiano mkubwa pia sisi tunakuwa na vikao kwa jambo lolote ili kuzungumza ikupata muafaka mzuri na hakuna mvutano wa familia kuhusu mali za Laizer"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment