Search This Blog

Wednesday, June 3, 2020

Ukiwa huna kitu hakuna mtu atayejishughulisha na wewe ila ukipata tegemea yafuatayo


Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo mtu ukiwa huna kitu hakuna binadamu atayejishughulisha nawe ila ukipata tegemea yafuatayo:

1. Ndugu au marafiki kukushawishi uingie kwenye biashara fulani hivi ambao wao wanaona zinalipa.

2. Ndugu na marafiki kukupa taarifa za kibiashara kuhusu viwanja, nyumba, wapi vinauzwa

3. Ndugu na marafiki kukushirikisha katika mipango yao ya kuoa au kuolewa.

4. Ndugu na marafiki kukuona wewe ndio kama msaada katika maisha yao na chochote ufanyacho juu yao hukwambia Mungu akubariki

5. Kila siku tegemea kupokea simu zaidi ya kumi ya ndugu jamaa na marafiki kukujulia hali na kukusalimia.

Haya endeleeaaaaaaaa

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...