Search This Blog
Wednesday, June 3, 2020
Ukiwa huna kitu hakuna mtu atayejishughulisha na wewe ila ukipata tegemea yafuatayo
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo mtu ukiwa huna kitu hakuna binadamu atayejishughulisha nawe ila ukipata tegemea yafuatayo:
1. Ndugu au marafiki kukushawishi uingie kwenye biashara fulani hivi ambao wao wanaona zinalipa.
2. Ndugu na marafiki kukupa taarifa za kibiashara kuhusu viwanja, nyumba, wapi vinauzwa
3. Ndugu na marafiki kukushirikisha katika mipango yao ya kuoa au kuolewa.
4. Ndugu na marafiki kukuona wewe ndio kama msaada katika maisha yao na chochote ufanyacho juu yao hukwambia Mungu akubariki
5. Kila siku tegemea kupokea simu zaidi ya kumi ya ndugu jamaa na marafiki kukujulia hali na kukusalimia.
Haya endeleeaaaaaaaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment