Search This Blog

Wednesday, June 3, 2020

Mbatroni Kwa Tuhuma za Kumuua Baba yake Mzazi kwa Kipigo


Jeshi la Polisi linamshikilia Yohana Lameck (17) kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Isaya Lameck (47) kwa kumpiga ngumi na kumkanyaga sehemu mbalimbali za mwili

Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Wilbroad Mutafungwa, amesema tukio hilo limetokea Mei 31, 2020 asubuhi ambapo kulikuwa na ugomvi baina ya mtoto na baba

Mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani kwa makosa aliyoyafanya

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...