Search This Blog

Wednesday, June 3, 2020

Mwanamuziki Madee Agoma KUHUSU Ubaguzi wa Rangi Marekani..Huenda Mtu Mweusi Aliyeuawa Kwa Goti Alikuwa Mhalifu

Rais wa Manzese @madeeali amesema kuwa haamini kwenye ubaguzi wa Rangi unaotajwa kuendelea Duniani na hata George Floyd inawezekana alikuwa mhalifu

Madee amezungumza hayo kupitia kipinfi cha XXL cha *CloudsFm. Nikimnukuu Madee "Siamini kwenye ubaguzi wa rangi, hata yule jamaa aliyekatishwa uhai wake Marekani inawezekana alikuwa Mhalifu".

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...