Search This Blog

Thursday, June 18, 2020

Tanzania yatoa msimamo wa changamoto ya madereva mpakani



Tanzania imetoa msimamo kuwa endapo nchi jirani zitaendelea kuzuia mipaka yao kwa hofu ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona, basi wasafirishaji wa mizigo watalazimika kuishia mipakani na si vinginevyo.

Msimamo huo umetolewa mkoani Dodoma na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, baada ya kufanya ukaguzi wa ujenzi wa reli ya kisasa inayojengwa kwa fedha za ndani.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...