Search This Blog
Tuesday, June 2, 2020
Shirika la ndege la Uturuki kuanza safari za ndege za ndani kesho
Bilal Ekşi, Meneja Mkuu wa Turkish Airlines ametangaza kuwa ndege zitaanza safari kuanzia 4 Juni.
Bwana Ekşi ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa,
"Kuanzia Juni 4, safariza ndani zitaanza katika miji 34 nchini.Safari 15 kutoka Ankara, na 14 kutoka Sabiha Gökçen (huko Istanbul)."
Taarifa hiyo vilevile imesema kuwa safari za moja kwa moja kutokea miji 16 barani Ulaya kuelekea katika miji 14 ya Uturuki zitaanza rasmi 18 Juni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment