Staa wa muziki ndani na nje ya Tanzania Alikiba, ametimiza ahadi yake aliyowaahidi mashabiki wake ya kwamba, ataachia kazi mpya mara baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuisha.
Hilo limejidhirisha kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, baada ya kutangaza kuachia kazi mpya iitwayo "so hot".
"Tuna makubaliano mazuri kwenye uongozi na mimi ndiyo C.E.O, lazima watu wawe na muamko mzuri kwa sababu watu wamenimiss, nawaambia mashabiki zangu kwamba mwezi wa Ramadhan ukiisha, kuna ngoma ya ajabu sana inakuja, nawaambia ukweli maana sijawahi kusema hivi" amesema Alikiba.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment