Search This Blog
Tuesday, June 2, 2020
Vifo vya Ebola vyaongezeka DRC
Idadi ya vifo kutokana na Ebola imeongezeka na kufikia watu watano Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Kulingana na ripoti ya UNICEF mtu mmoja mwingine amepoteza maisha kutokana na Ebola Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.
Watu wanne walioambukizwa wametengwa katika Hospitali ya Wangata katika mkoa huo.
Watu 4 wamepoteza maisha jana kutokana na ugonjwa huo.
Waziri wa Afya wa DRC Eteni Longonda ameomba ushirikiano wa Shirika la Afya Ulimwenguni, akitangaza kwamba janga hilo limetokea tena katika mkoa wa Mbandaka kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment