Msanii Diamond Platnumz ambaye jina lake halisi ni Nassib Abdul alijiunga na mtandao wa You tube Juni 12, 2011 na amepata watazamaji wengi kutokana na kazi zake mbalimbali anazoziweka katika mtandao huo.
Sanjali na hilo, Diamond katika akaunti yake ya Youtube tayari ana wafusi (subscribers) 3.68 million akiwa msanii wakwanza Tanzania kuwa na wafuasi wengi katika mtandao huo.
Itakumbukwa, Wiki iliyopita jarida la Billboard linalohusika na upangaji wa chart kubwa za muziki lilimtaja Diamond Platnumz kama mfano wa kuigwa duniani kote kama msanii aliyefanikiwa zaidi kupitia
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment