Wizara ya Maliasili na Utalii, imezindua muongozo na uendeshaji bora shughuli za Utalii nchini kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19, huku ikiahidi kuwepo maabara maalum kupima virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona kwa watalii wanaokuja nchini na wadau wa utalii.
Akizindua muongozo huo jijini Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla amesema lengo makhsusi la muongozo huo ni kuwahakikishia usalama wa afya Watalii wanaofika Nchini na Watoa huduma za utalii.
No comments:
Post a Comment